Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread



Wewe jamaa hujawahi ishiwa maneno aisee


Wachezaji Kama Kai wapo kwa ajili yakuzi kill timu Kama Mancity ,

Uliona umuhimu wa aeria duels ,alipoingia Mancity wakawa hawapati mipira ya juu,

Kai anaweka kwenye deep freezer,anatuliza ,anatoa assist

Mechi Kama zile huwez kutoboa na kina nketiha

Kai simuweki kwenye First eleven sababu napenda kiungo Cha

Ode Partey Rice

Lakin napenda kumuona Kama CF ,but Kuna Jesus, so Kama plan B mambo yakiwa magumu ,Basi Kai anafaa ,

View attachment 2785235
Umemjibu vizuri Sana hapa. Maajabu atakua bado hajakuelewa
 
Nimevaa uhusika Kama shabiki wa Chelsea ,nimegundua jumamos hatutoki tunajifariji tu

Nimegundua tunahitaji kuwa makini dakika zote 90 ,tusifaye makosa ,lasivyo half time Arsenal wanaweza kutupiga 3-0
 
| Mikel Arteta will hold his pre-match press conference for Arsenal’s #PL away trip to Chelsea at 09:00am on Friday.

#CHEARS
 
Wewe ni content creator and u like to work katika klabu ya Arsenal kama social media producer? Utahusika na

1.Kufanya interviews na wachezaji
2.kucover mechi za timu ya wanaume,wanawake na vijana wa Academy.
3.Content Kwa ajili ya akaunti na Channel za klabu

Link chini

 
Chelsea wanavyodanganyana wanatuchukulia sawa na kina manjesta ,Luton, Burney

Arsenal Ni best team mentally,tactically

Kibaya zaidi msimu huu hatujawahi kucheza tukiwa full squad ,vs Chelsea tutakuwa full Squad kasoro Jurrien Timber tu

Shughuli yetu wanaijua hasa manjesta ,

Dakika 100 walipata Kona 2, waliingia box la Arsenal Mara chache zaidi katika historia toka msimu wa 2006/2007

Walikuwa hawawezi kupiga pass 10 eneo la kiungo Cha Arsenal

Walipiga pass 200 kwenye eneo Lao

Expectation tutaingia na kikos hiki

Labda yatokee majeruhi huko mazoezini
20231019_110129.jpg
 
🔴⚪️ Ramsdale on relationship with David Raya: “We work professionally really well together. We push each other in training”.

“There's days where I come in and I'm down because of the situation and he picks me up. I’d do the same for him. We support each other”, told Mail.
20231019_164611.jpg
20231019_164607.jpg
 
Kumbukumbu:

Msimu wa 1990-1991 Arsenal alichukua ubingwa Kwa kupoteza mechi moja tu. Enzi hizo chini ya George graham. Tulikuwa tunaanza kuonja u-invincible sema ikawa kinyume chake na tukaanza kuporomoka zaidi.

Enzi hizo tuna wachezaji walevi na mateja kama Tony Adams na Paul Merson. Kocha wetu naye alibidi atimuliwe kwa sababu ya ufisadi. Jamaa alichukua chake chini ya meza katika sajili za wachezaji ( kama afanyavyo 7hag saivi).

Pia 1994, Arsenal ilibeba kombe lake la kwanza na la mwisho la UEFA Cup Winners' Cup, kabla ya shindano hili kumezwa na UEFA Cup aka Europa Cup.
 
Kumbukumbu:
Msimu wa 1990-1991 Arsenal alichukua ubingwa Kwa kupoteza mechi moja tu. Enzi hizo chini ya George graham. Tulikuwa tunaanza kuonja u-invincible sema ikawa kinyume chake na tukaanza kuporomoka zaidi.
Enzi hizo tuna wachezaji walevi na mateja kama Tony Adams na Paul Merson. Kocha wetu naye alibidi atimuliwe kwa sababu ya ufisadi. Jamaa alichukua chake chini ya meza katika sajili za wachezaji ( kama afanyavyo 7hag saivi).
Pia 1994, Arsenal ilibeba kombe lake la kwanza na la mwisho la UEFA Cup Winners' Cup, kabla ya shindano hili kumeza na UEFA Cup aka Europa Cup.
 
Kumbukumbu:

Msimu wa 1990-1991 Arsenal alichukua ubingwa Kwa kupoteza mechi moja tu. Enzi hizo chini ya George graham. Tulikuwa tunaanza kuonja u-invincible sema ikawa kinyume chake na tukaanza kuporomoka zaidi.

Enzi hizo tuna wachezaji walevi na mateja kama Tony Adams na Paul Merson. Kocha wetu naye alibidi atimuliwe kwa sababu ya ufisadi. Jamaa alichukua chake chini ya meza katika sajili za wachezaji ( kama afanyavyo 7hag saivi).

Pia 1994, Arsenal ilibeba kombe lake la kwanza na la mwisho la UEFA Cup Winners' Cup, kabla ya shindano hili kumeza na UEFA Cup aka Europa Cup.
Screenshot_20231019-171342.jpg
 
Chelsea yupo home alafu kapewa 3


Arsenal kapewa odd 2,
Unachotakiwa kufanya, tia 1M arsenal win
alafu kaa kaunta anzisha fujo, piga wahudumu makofi
Ikiwezekana waambie wote nje, unataka utulivu wa kuangalia mpira
Bill payed after 90mins View attachment 2786469
Hawa jamaa hawajui kabisa wanakutana na timu ya aina gani wanadhani tunatoa vipigo kwa kubahatisha

Mbaya zaidi wanakutana na best Trio Midfield in the world

Hapa unapata Radha zote

Ufundi,tackling, athleticism,chance creation,high passing ability, press resistance,
20231019_161313.jpg
 
Mikel Arteta on his conversation with Pep Gurdiola after #Arsenal beat City:

"He said to me: 'Congratulations, you guys are a terrific team, and let’s move on.'"
 
Hawa jamaa hawajui kabisa wanakutana na timu ya aina gani wanadhani tunatoa vipigo kwa kubahatisha

Mbaya zaidi wanakutana na best Trio Midfield in the world

Hapa unapata Radha zote

Ufundi,tackling, athleticism,chance creation,high passing ability, press resistance, View attachment 2786595
Baada ya mapumziko, wanaweza wasirudi uwanjani
 
Huu uzi umeanzishwa mwaka 2006 lakini mpaka leo hamjawahi kunyenyua UEFA haya basi hata EUROPA ndio imewashinda jamani??

Sasa mnadiscuss nini humu?
 
Back
Top Bottom