mkorea
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 8,582
- 19,226
Umemjibu vizuri Sana hapa. Maajabu atakua bado hajakuelewa
Wewe jamaa hujawahi ishiwa maneno aisee
Wachezaji Kama Kai wapo kwa ajili yakuzi kill timu Kama Mancity ,
Uliona umuhimu wa aeria duels ,alipoingia Mancity wakawa hawapati mipira ya juu,
Kai anaweka kwenye deep freezer,anatuliza ,anatoa assist
Mechi Kama zile huwez kutoboa na kina nketiha
Kai simuweki kwenye First eleven sababu napenda kiungo Cha
Ode Partey Rice
Lakin napenda kumuona Kama CF ,but Kuna Jesus, so Kama plan B mambo yakiwa magumu ,Basi Kai anafaa ,
View attachment 2785235

| Mikel Arteta will hold his pre-match press conference for Arsenal’s #PL away trip to Chelsea at 09:00am on Friday.
Wewe ni content creator and u like to work katika klabu ya Arsenal kama social media producer? Utahusika na
chini



