hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,282
- 26,677
Wewe tulikulambaCheltako nao Ni mimavi kweli kweli.View attachment 2788542
Unataka mbovu mwenzio akutetee
Wewe tulikulambaCheltako nao Ni mimavi kweli kweli.View attachment 2788542
Arsenal na andazi, nachagua andazi.Wewe ulipigwa unataka Kenge wakusaidie![]()
Umeumia kimoyomoyo ila huna jinsiArsenal na andazi, nachagua andazi.
Arsenal wazee wa duel win, inverted midfield
Njooni na huu upupu muanze kujifariji, miaka laki Bila kombe.
Wewe tulikulamba
Unataka mbovu mwenzio akutetee
Kati yenu nasisi nani alicontrol mechi nyie mlifanya kutuvizia sisi tukatulia tukaanza kuwatafuta ingekuwa dharau kupoteza dhidi ya vijana wanaosuka mabutu kichwaniMistake za Sanchez kama Raya naye alivyofanya , sema game imekuwa fresh sana ,na mpira ndio unatakiwa uwe hivi mperapera mwanzo mwisho ,hamna kupaki basi ,bonge moja la mechi ,kama tunavyoweza na Liverpool
Asenyeto nadhani mmejifunza kitu ,kidomo domo kipungue na dharau ziishe
Chances nyingi sana tumepata tungekuwa na makali pale mbele mlikuwa mnatoboka mkono kabisa
Mtuheshimu kaka zenu The blues
Siwez kuumia.Umeumia kimoyomoyo ila huna jinsi
#COYG
Sijaona hata tulichokicheza leo...ni uzoefu tu na ununda ndo umetupa matokeo...nilipoona tu kuna Georginho pale kati nikajua tutakuwa na Hali ngumu....mpira wa Kasi hawezi kabisa yule mzee...Rice alivyorudi chini ndo kukawa na mabadiliko...ila sio ishu ni aibu kutoa draw leo na jinsi tulivyocheza....tusubiri gemu ijayoUnafurahia draw?
Timu ndogo timu ndogo tu
Yaani leo walikamia kwlikwli ndugu zetu🤠🤠🤠....wamecheza mpira mzuri ila yule Jackson kwli professional footballer au mbeba magunia sokoni walitapeliwa ChelseaKati yenu nasisi nani alicontrol mechi nyie mlifanya kutuvizia sisi tukatulia tukaanza kuwatafuta ingekuwa dharau kupoteza dhidi ya vijana wanaosuka mabutu kichwani
Ausio e bhana ndiooo😂😂Chelsea yupo home alafu kapewa 3
Arsenal kapewa odd 2,
Unachotakiwa kufanya, tia 1M arsenal win
alafu kaa kaunta anzisha fujo, piga wahudumu makofi
Ikiwezekana waambie wote nje, unataka utulivu wa kuangalia mpira
Bill payed after 90mins View attachment 2786469
Kati yenu nasisi nani alicontrol mechi nyie mlifanya kutuvizia sisi tukatulia tukaanza kuwatafuta ingekuwa dharau kupoteza dhidi ya vijana wanaosuka mabutu kichwani
Chambuzi la FIFA hapa ulipuyangaPartey tunamuhitaji Sana , for the rest of season ,
Kwa mechi hii sio mbaya Sana Jorginho akamate kiungo na Zinny
Dakika kumi za mwsho ndo ilionekana kama nyuki wamefunguliwa.... Georginho hamna kitu mule....watu wanapita tu kati...akawa anawapa wakati mgumu mabekiHii timu kadri siku zinavyozidi kwenda tunapiga hatua moja mbele kisha hatua moja na nusu nyuma
Kwanini alianza Jorginho badala ya Partey?
Saka hakua fit kwanini kumuwahisha?
Zinchenko...?
Øde.....?
Sasa hamis na mkorea ndio Arteta na vieapodi au?
Hovyo sanaaaTumecheza hovyoo, yani hovyoo hata draw sielewi tumepataje.
Umeona kitu muhimu sana mkuu.hii mentality tungekuwa nayo msimu uliopita basi kombe lingekuwa kabatini.Chelsea leo walicheza kama team iliyokuwa imekuja kuprove a point. Kwa kweli leo walikuwa motivated kwelikweli. Nadhani hawakustahili kufungwa.
Arsenal leo nao baada ya miaka mingi kupita, at least wameonyesha maturity na aura ya title challenger kusecure walau draw kwenye match ambayo hawakucheza vizuri kuanzia dk ya kwanza. "If you cannot win don't lose" aliwahi kusema Mourinho. We are up for the next game. COYG!