Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mistake za Sanchez kama Raya naye alivyofanya , sema game imekuwa fresh sana ,na mpira ndio unatakiwa uwe hivi mperapera mwanzo mwisho ,hamna kupaki basi ,bonge moja la mechi ,kama tunavyoweza na Liverpool
Asenyeto nadhani mmejifunza kitu ,kidomo domo kipungue na dharau ziishe
Chances nyingi sana tumepata tungekuwa na makali pale mbele mlikuwa mnatoboka mkono kabisa
Mtuheshimu kaka zenu The blues
Kati yenu nasisi nani alicontrol mechi nyie mlifanya kutuvizia sisi tukatulia tukaanza kuwatafuta ingekuwa dharau kupoteza dhidi ya vijana wanaosuka mabutu kichwani
 
Unafurahia draw?

Timu ndogo timu ndogo tu
Sijaona hata tulichokicheza leo...ni uzoefu tu na ununda ndo umetupa matokeo...nilipoona tu kuna Georginho pale kati nikajua tutakuwa na Hali ngumu....mpira wa Kasi hawezi kabisa yule mzee...Rice alivyorudi chini ndo kukawa na mabadiliko...ila sio ishu ni aibu kutoa draw leo na jinsi tulivyocheza....tusubiri gemu ijayo
 
Kati yenu nasisi nani alicontrol mechi nyie mlifanya kutuvizia sisi tukatulia tukaanza kuwatafuta ingekuwa dharau kupoteza dhidi ya vijana wanaosuka mabutu kichwani
Yaani leo walikamia kwlikwli ndugu zetu🤠🤠🤠....wamecheza mpira mzuri ila yule Jackson kwli professional footballer au mbeba magunia sokoni walitapeliwa Chelsea
 
Chelsea leo walicheza kama team iliyokuwa imekuja kuprove a point. Kwa kweli leo walikuwa motivated kwelikweli. Nadhani hawakustahili kufungwa.

Arsenal leo nao baada ya miaka mingi kupita, at least wameonyesha maturity na aura ya title challenger kusecure walau draw kwenye match ambayo hawakucheza vizuri kuanzia dk ya kwanza. "If you cannot win don't lose" aliwahi kusema Mourinho. We are up for the next game. COYG!
 
Hii timu kadri siku zinavyozidi kwenda tunapiga hatua moja mbele kisha hatua moja na nusu nyuma

Kwanini alianza Jorginho badala ya Partey?

Saka hakua fit kwanini kumuwahisha?

Zinchenko...?

Øde.....?
Dakika kumi za mwsho ndo ilionekana kama nyuki wamefunguliwa.... Georginho hamna kitu mule....watu wanapita tu kati...akawa anawapa wakati mgumu mabeki
 
Chelsea leo walicheza kama team iliyokuwa imekuja kuprove a point. Kwa kweli leo walikuwa motivated kwelikweli. Nadhani hawakustahili kufungwa.

Arsenal leo nao baada ya miaka mingi kupita, at least wameonyesha maturity na aura ya title challenger kusecure walau draw kwenye match ambayo hawakucheza vizuri kuanzia dk ya kwanza. "If you cannot win don't lose" aliwahi kusema Mourinho. We are up for the next game. COYG!
Umeona kitu muhimu sana mkuu.hii mentality tungekuwa nayo msimu uliopita basi kombe lingekuwa kabatini.
Kuna kitu inaitwa ugly win.
Unashinda mech kibabe sio a good perfomance
 
Back
Top Bottom