Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kwanini mkuu?

Mimi nketiah namsapoti Kama mchezaji wa Arsenal , but Kati ya Nketiah na Kai ukiniambia Nan aanze CF nitaenda na Kai ,

Nketiah anatukaba ,ana faida moja tu anayowazid Jesus na Kai , finishing Tena Ina siku na siku

Kai akicheza CF anaweza asifunge ila atakupa faida watafunga wengine sio nketiah
Nketiah ana miaka mingi Arsenal but no improvement ni MBAHATISHAJI sana
 
Ndio Maana sipend Nketiah kumuona kwenye hii timu

Pia sipend kumuona Kai as LCM

Kurejea kwa Partey ,means our Midfield Ni Partey Ødegaard na Rice

Napenda kumuona Kai as CF, anakusaidia vitu Kama hivo ,

Nketiah Ni mzururaji ,Arsenal wanarud sokon kusaka CF ,

Kwasasa Hakuna huruma


White ameletewa Jurrien Timber

Rams kaletewa Raya

Nketiah ni muda Sasa umefika atupishe
Good analysis
 
City niliyokua naijua Mimi ni Kdb, bernado na gundogan

Gundogan amesha amsha
Kdb mgonjwa plus umri utaanza kuongea achana na fatigue
Bernado nae analazimishwa kucheza ila ni majerui yule

We are going to dominate each and everything inside and outside the pitch
#COYG
Mkorea kwenye moja na mbili
 
Ndio Maana sipend Nketiah kumuona kwenye hii timu

Pia sipend kumuona Kai as LCM

Kurejea kwa Partey ,means our Midfield Ni Partey Ødegaard na Rice

Napenda kumuona Kai as CF, anakusaidia vitu Kama hivo ,

Nketiah Ni mzururaji ,Arsenal wanarud sokon kusaka CF ,

Kwasasa Hakuna huruma


White ameletewa Jurrien Timber

Rams kaletewa Raya

Nketiah ni muda Sasa umefika atupishe
Sijaona sababu yoyote yakumchukia dogo nketia Bila sababu kwani nketia hachezi peke ake

Ni vyema ukakosoa kila mvhezaji na siyo kumuandama nketia pekee ake siyo sawa nashukuru kocha Ana imani nae kuliko wewe ulioko busa kwa mparange
 
Ukiona kilembe kimechafuka, basi msuli hautamaniki.
Snapinsta.app_387260530_1040167924090187_1603351204778448831_n_1080.jpg
 
Sijaona sababu yoyote yakumchukia dogo nketia Bila sababu kwani nketia hachezi peke ake

Ni vyema ukakosoa kila mvhezaji na siyo kumuandama nketia pekee ake siyo sawa nashukuru kocha Ana imani nae kuliko wewe ulioko busa kwa mparange
Dah Mimi sichukiagi mchezaji labda Kama hujui

Nketiah is not enough kwa Arsenal ndio maana Arsenal wanarudi sokon kusaka CF mwingine

Labda hukunielewa tu ,
 
Dhidi ya Man utd 3 points
Dhidi ya Spurs 1 point
Dhidi ya Man City 3 points

Hii ndiyo maana ya timu kubwa.

Ukitaka kushinda Epl lazima uchukue pints kwa Big 6

We are gunners 💪💪
Game na spurs kama partey angekuwepo, zile nafasi kina jesus wangeweka basi tungekuwa tunazungumza mengine.
Kibabu jorginho kiliharibu mambo.

Lakini si mbaya, ndio football.
 
Halafu mtu ukimwambia hizi timu zimebaki majina huko UCL sio za kuziogopa anaona tunadhihaki


| GOAL: Granada double their lead against Barca.

Granada 2-0 FC Barcelona

Zaman unakutana na wahuni Kama 10 hivi Wana world class players kila eneo

Leo Madrid GK kepa
 
Back
Top Bottom