Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

1-0 vs. Manchester City
0-4 vs. Bournemouth
2-2 vs. Tottenham
0-1 vs. Everton
3-1 vs. Manchester United
2-2 vs. Fulham
0-1 vs. Crystal Palace
2-1 vs. Nottingham Forest

Arsenal extend their unbeaten start to the #PL season to games.
 
Huyo unapoteza MB hata kujadiliana nae ,Sasa Newcastle kweli hata top 6 hawez kuingia ,
Aje tu tuzungumze kiume...maana ana shombo sana bwana mdgo...kelele nyingiii...alitusema sana sisi tulivyo draw na West Ham season ilopita...Sasa yy leo sijui ameshinda au vp🤠🤠🤠...nilimwambia na ntamwambia tena..hata UEFA ni suala la muda tu....kauli zitabadilika mechi zikiwa zinaenda mwshoni...ameshikilia nafasi za watu kwa mda
 
Sio kupaki basi na kaunta Tena?
Kucheza kwa kumvizia city haikubaliki ,nenda nae toe to toe ,ili uweze kupiga kina manjesta , Chelsea ,n.k


Leo tumegawana vipindi hata Pep kasema leo tumewafunga kwa kuwazidi ,na hiki kitu mm ndio nilikuwa nataman ,kifupi nachukia Sana mpira wa janjajanja


Pep Guardiola:

“Two years ago and last season, they [Arsenal] controlled more of the game and we won…”
20231008_205212.jpg
 
Kucheza kwa kumvizia city haikubaliki ,nenda nae toe to toe ,ili uweze kupiga kina manjesta , Chelsea ,n.k


Leo tumegawana vipindi hata Pep kasema leo tumewafunga kwa kuwazidi ,na hiki kitu mm ndio nilikuwa nataman ,kifupi nachukia Sana mpira wa janjajanja


Pep Guardiola:

“Two years ago and last season, they [Arsenal] controlled more of the game and we won…” View attachment 2775947
Mm nataka siku itokee tuwa dominate na kuwafunga convincingly hapo ndo ntasema Sasa tumewiva kwa Hawa Mabraza...vngnevyo so far tukikutana nao tuwe na game plan nzuri tu...tutaendelea kupata matokeo
 
Nimepanda sana Ile double pivot ya Rice na Partey.......Rice anabaki chini Partey anacheza juu yake.....Ile long ball aliyopiga Partey akiwa juu ikaenda kwa Tomiyasu nae kapiga kichwa kwa Kai (hapa niweke wazi...Kai Ni mzuri kwenye long balls)...Kai anafanya set up nzuri kwa Gabi then goaaaaaaal
 
Nimepanda sana Ile double pivot ya Rice na Partey.......Rice anabaki chini Partey anacheza juu yake.....Ile long ball aliyopiga Partey akiwa juu ikaenda kwa Tomiyasu nae kapiga kichwa kwa Kai (hapa niweke wazi...Kai Ni mzuri kwenye long balls)...Kai anafanya set up nzuri kwa Gabi then goaaaaaaal
Ndio Maana sipend Nketiah kumuona kwenye hii timu

Pia sipend kumuona Kai as LCM

Kurejea kwa Partey ,means our Midfield Ni Partey Ødegaard na Rice

Napenda kumuona Kai as CF, anakusaidia vitu Kama hivo ,

Nketiah Ni mzururaji ,Arsenal wanarud sokon kusaka CF ,

Kwasasa Hakuna huruma


White ameletewa Jurrien Timber

Rams kaletewa Raya

Nketiah ni muda Sasa umefika atupishe
 
Back
Top Bottom