mkorea
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 8,582
- 19,226
Alivyokua westaham sikumfatilia SanaRice hata mm Kani prove wrong ,sikuwahi kumuelewa pale Westham maana walikuwa wanacheza Haram football
Tulipo msajiri, ilibidi niende kumchungulia u-tube
Nilimuangalia hasa hasa kwenye
Interceptions
Tackling
Driving force yake
mazingira anayopokea mipira na mazingira anapo achia mipira
Aerial duels
Nikaja humu humu kusema rice ni MAFIA na MKATILI
Kwa upande wangu anachofanya rice kwangu Mimi sio surprise hata kidogo
OFFICIAL - 