hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,662
- 27,521
Nimependa Arteta kawa mjanja ,Saliba haendi NT ,Saka haendi pia
Wenzetu wanacheza hiyo michezo kulinda wachezaji wao ,sisi kila mechi za kimataifa hata za kijinga wanaenda tu
Manjesta mchezaji wao muhimu Rashford kila zikifika mech za Taifa utasikia ana injury
Wenzetu wanacheza hiyo michezo kulinda wachezaji wao ,sisi kila mechi za kimataifa hata za kijinga wanaenda tu
Manjesta mchezaji wao muhimu Rashford kila zikifika mech za Taifa utasikia ana injury