Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Rice hata mm Kani prove wrong ,sikuwahi kumuelewa pale Westham maana walikuwa wanacheza Haram football
Alivyokua westaham sikumfatilia Sana

Tulipo msajiri, ilibidi niende kumchungulia u-tube
Nilimuangalia hasa hasa kwenye
Interceptions
Tackling
Driving force yake
mazingira anayopokea mipira na mazingira anapo achia mipira
Aerial duels

Nikaja humu humu kusema rice ni MAFIA na MKATILI
Kwa upande wangu anachofanya rice kwangu Mimi sio surprise hata kidogo
 
Nimependa Arteta kawa mjanja ,Saliba haendi NT ,Saka haendi pia

Wenzetu wanacheza hiyo michezo kulinda wachezaji wao ,sisi kila mechi za kimataifa hata za kijinga wanaenda tu

Manjesta mchezaji wao muhimu Rashford kila zikifika mech za Taifa utasikia ana injury
 
OFFICIAL -


Saliba WON'T be joining France for international duty due to a toe injury. Will be replaced by Todibo

(@equipedefrance )
Ameumia saa ngapi...au Arsenal nao wameanza uhuni wa kufake majeruhi Ili kuepusha watu wasiende timu za taifa....Partey sijui kama kaitwa... Martinelli sijui kama kaitwa...Saka ndo hvyo naye...huu umafia...ndo maana Arteta press alikuwa anatoa mijibu ya uongo tu...
 
Kawafundisha soka vijana wadogo!
IMG_20231008_212443_562.jpg
 
Ile mechi ya Spurs tungempata muhuni Partey pale kati angeendana na zile kazi chafu za akina Bissouma.
Wale walipata ujiko siku ile sana mabwana wadogo wale...ila ipo siku Yao🤠🤠🤠...eti Bissouma na Sarr wakawa wanageukageuka tu pale kati....tukikutana nao tukiwa kamili wale....watatueleza siku ile walipataje draw....ile ilikuwa dharau sana siku ile🤠🤠🤠
 
Mm nataka siku itokee tuwa dominate na kuwafunga convincingly hapo ndo ntasema Sasa tumewiva kwa Hawa Mabraza...vngnevyo so far tukikutana nao tuwe na game plan nzuri tu...tutaendelea kupata matokeo
Kufikia level zao siyo kazi rahisi. Kwenye mpira muhimu matokeo tu namna ya kuyapata haina maana sana. Kuwafunga tu City ni hatua.
 
Kufikia level zao siyo kazi rahisi. Kwenye mpira muhimu matokeo tu namna ya kuyapata haina maana sana. Kuwafunga tu City ni hatua.
Mkuu ukiwa na physicality kama ya jamaa wale na total domination kama Yao...inakupa uhakika wa kuchukua makombe mengi...sawa kuna mechi utaotewa ila uhakika wa mechi nyng kushinda unakuwa nao..na sisi ndo tunapoelekea huko...lazima uwe na watu wa kazi....mfano mzuri mechi ijayo na Chelsea utaelewa nnachokiongea tukiwa full mkoko🤠🤠🤠
 
Back
Top Bottom