Guacamole
JF-Expert Member
- Mar 19, 2019
- 6,079
- 16,035
Wajuzi wanasema ile foul ya Kovacic inatatanisha, ina sound kama ni red card lakini sio.
Ni kwa sababu mwili wa Kovacic ulikua chini, kama ungekua juu kidogo basi ingekua red card.
Ila ile ya pili inawezekana Oliver hakuiona vizuri kwa haraka haraka, ila baada ya slow motion review ilitakiwa apewe second yellow card.
Ni kwa sababu mwili wa Kovacic ulikua chini, kama ungekua juu kidogo basi ingekua red card.
Ila ile ya pili inawezekana Oliver hakuiona vizuri kwa haraka haraka, ila baada ya slow motion review ilitakiwa apewe second yellow card.
