Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wajuzi wanasema ile foul ya Kovacic inatatanisha, ina sound kama ni red card lakini sio.

Ni kwa sababu mwili wa Kovacic ulikua chini, kama ungekua juu kidogo basi ingekua red card.

Ila ile ya pili inawezekana Oliver hakuiona vizuri kwa haraka haraka, ila baada ya slow motion review ilitakiwa apewe second yellow card.
 
Nketiah ni takataka nyingie, nitakuwa wa mwisho kuamini anahitajika kwenye timu ya kuchallenge ubingwa, huyu ni mchezaji wa kina everton huko, namuona danny welbeck ndani yake.. bora BALOGUN.
Toa hiyo takataka tia hata saka, jesus arudi kati pale.

Kipi kimefanya matheo kova aendelee na game, diogo jota alikula kadi kwa namna hii hii.

Tunapata tabu ya kutoka pale chini, jorginho na declan wakekabwa saana anahitajika kiungo mnyumbulifu, kiungo fundi, tia partey huyo.
 
Tungekua tunacheza na timu nyingine ingekua hawakai na mpira zaidi ya dk.

Against City?

Unanotice kitu? Tunarundikana mpira ulipo. Kati kati City inaacha watu wawili sisi wawili wetu wanaenda kukaa na back line hii inafanya mid yao itumike kurelieve pressure muda wote.

Shabiki anawish wachezaji wa Arsenal wawe kama wa shaolini soccer. Impossible.

Defense ya City Arsenal akiwa na mpira wanabaki 3 against forwards 3 wa Arsenal kisha beki wao wa nne unamuona mid.

Hamis anakuambia gameplan ya kuifunga city kwa counter kwa Arsenal hii ni kujidhalilisha.
Mkuu niokoe na link nna muda niko chaka.
Nimedownload live tv na gato tv ila kote maruweruwe
 
Back
Top Bottom