Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Yani pep akubali kufungwa 2 games streak
Akubali kubaki na 18 points ilihali akijua kuna wenzie
Wakipata 3 points leo yeye atajikuta wa 3 au 4 kwenye
Ligi kuelekea international break
Kwahyo pep yeye ndio kila kitu kwenyr mpira ndio mwenye maamuzi ya mwisho sio
 
Wewe una mdomo na mpira haujui

Haya hatuchezi double pivot


Vipi manjesta anayecheza double pivot yupo wapi
Fulham - lone DM - draw
Spurs - lone DM - draw
Lens - lone DM - lose

Timu haina box-to-box mid mtachezaje double pivot? Sasa mimi na wewe nani hajui mpira? Maana wewe umeshindwa hata kujua kwanini Arteta anamtumia Rice lone DM na 2 att mids.
 
Msimamo kama huo city wa 3 arsenal wa 4 alafu akubali kufungwa akae wa 4 wakati chance yakuwapiga anayo leo

Neverrrr brother akai mtu wa 4
 
Timu kubwa newcastle inaongozwa na west ham.

Ila kabla mechi haijaanza Newcastle waligewa odds 2.25 ili kuifunga Westham

Westham for Gods's sake.

Iko hivi. Kwa performance ya sasa.

Leo hii Arsenal akicheza na Lens ingawa juzi Arsenal itafungwa ukaambiwa uotee nani atashinda ni utaichagua Arsenal.

Na Leo Arsenal akifungwa kesho wakiwa wanarudiana ukaambiwa tena uotee bado utachagua Arsenal.

Ndiyo Newcastle na PSG. Hata Newcastle timu kubwa akimfunga PSG mwezi mzima bado tukiwambiwa wanarudiana tutasema PSG anashinda.

villa alimpiga Liva 7. Ila walivyorudiana bado tukasema Liva atashinda.
 
Namsupport zincheko bana ,#free Palestine,,kama mnataka kumfanya mlichonfanya Ozil basi laana itaendelea kuwatafuna gaygunners nyie
 
Tunalaumu United ina wachezaji wazuri ila kocha hajui kuwaunganisha kimbinu.

Hicho alichokishindwa Eriki Kichwa Ngumu Pep amekifanya kwa City for years. Acha hela zao za visima na Dad Sheikh lakini hiki ndicho wanatuzidi.

Ability ya kuset tempo ya mechi. Hiko ndiyo hatujamaster, haswa tukicheza na timu ambazo zina team work ya kwenda toe to toe na sisi.

Kama ukiiangalia Arsenal na City ya sasa unaona Arsenal anaweza kushinda huku anamnyanyasa City basi unakosea vibaya mno.
Nilisema kitakachotupa ushindi mechi ya leo ni NIDHAMU.
Kitakachotufanya tufungwe leo ni kujaribu kuproove ourselves before CITY

You don't need to be guadiola to beat man city.
 
Back
Top Bottom