Mkuu tupo pamoja sana, mpira mchezo wa wazi SanaMkorea Again kwenye moja na mbili
Juzi page ya Premier league walimuweka Thiery Henry wakawa wanamfananisha na halland ,walioga matusi SanaHaaland still in Saliba's pocket ☻
Halaand asipokuwa na watu wa kumlisha mipira mtamalumu tu...maana hana mbio...hajui chenga...ypoypo tu...amekuta Man City ina wapikaji ila vngnevyo akiwa timu average na yy anakuwa wa kawaida sana....Henry ile ni machine nyingine...yule kichogo enzi zake alikuwa akifungulia turbo mkimbizane utatema bungo...eti siku hzi kina Mudryk nao wanaonekana wakimbiaji naoJuzi page ya Premier league walimuweka Thiery Henry wakawa wanamfananisha na halland ,walioga matusi Sana
Sasa hii ni furaha kupitiliza huwez kusema City ni timu ya kawaidaTumecheza vizuri
Arteta akoma asiwe anapoteza au kutoa sare na team ndogo
Akiwa serious ubingwa upo
Man city ni team ya kawaida mno
Naunga mkono hojaHalaand asipokuwa na watu wa kumlisha mipira mtamalumu tu...maana hana mbio...hajui chenga...ypoypo tu...amekuta Man City ina wapikaji ila vngnevyo akiwa timu average na yy anakuwa wa kawaida sana....Henry ile ni machine nyingine...yule kichogo enzi zake alikuwa akifungulia turbo mkimbizane utatema bungo...eti siku hzi kina Mudryk nao wanaonekana wakimbiaji nao
Halaand asipokuwa na watu wa kumlisha mipira mtamalumu tu...maana hana mbio...hajui chenga...ypoypo tu...amekuta Man City ina wapikaji ila vngnevyo akiwa timu average na yy anakuwa wa kawaida sana....Henry ile ni machine nyingine...yule kichogo enzi zake alikuwa akifungulia turbo mkimbizane utatema bungo...eti siku hzi kina Mudryk nao wanaonekana wakimbiaji nao
😂🤣
Maneno mawili yanayomuelezea Rice ni MKATILI, MAFIAHapa Rice sijui alikua anamwambia nini TomView attachment 2776077



HUwezi mfananisha TH 14 na HalaandHalaand asipokuwa na watu wa kumlisha mipira mtamalumu tu...maana hana mbio...hajui chenga...ypoypo tu...amekuta Man City ina wapikaji ila vngnevyo akiwa timu average na yy anakuwa wa kawaida sana....Henry ile ni machine nyingine...yule kichogo enzi zake alikuwa akifungulia turbo mkimbizane utatema bungo...eti siku hzi kina Mudryk nao wanaonekana wakimbiaji nao
Unajua nilipotea online toka saa 7 mchana kwaiyo nilivyomaliza kuangalia game nikawa napitia taratibu kuanzia juu hadi chini aiseee, wanaojua football kwa uchambuzi kabla na baada ya mechi ni wachache sana,Mkuu unanifurahisha Sana![]()



Mkorea ni mnoma sana aiseeMkorea anajua Sana football ,najifunza Sana kwakwe
Jamaa akikabwa vizuri anakuwa kama mzururaji kiwanjani 🤣🤣Leo tulikua tunabambia tu.. Leo Haaland miguu kama imebemendwa.
View attachment 2776080
Naunga mkono hoja 👍👏HUwezi mfananisha TH 14 na Halaand
Haiwezekani hata kidogo
Shuleni walikua wananiita Henry kwasababu Henry alikua anacheza kama mimi
🤣🤣🤣...kwmba Braza kichogo alikuwa anakuiga uchezaji wako....kupata striker kama Henry pale epl sasahv itachukua mda kidogo....unabisha...mtafute Barthez umuulize pale Highbury alifanywa nn....hii watoto wa mwaka 2000 hawawezi juaHUwezi mfananisha TH 14 na Halaand
Haiwezekani hata kidogo
Shuleni walikua wananiita Henry kwasababu Henry alikua anacheza kama mimi
Wewe unaangalia mpira na unafatilia Arsenal mwaka hadi mwaka na unayaona mabadililo ya kiuchezaji ila naona ulipingwa vikali nusu upigwe na hapo ni Liverpool FanTuweke ushabiki pembeni leo.
Arteta kaitoa hii timu mbali sana kwa huu mpira mnacheza na Citizen.
,..