Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

kumbe na wewe ile proposal uliiona?
Aiseee mi nilivyoona ile kauli nilibaki mdomo wazi nikawa nasali kimoyomoyo ili wewe usije ukaiona maana nilijua ukiiona tu mzee wa maevidence na mavivid examples basi tayari Arsenyau wamekwisha
Ile wewe jamaa uwepo wako humu hua ni faraja kubwa sasa kwetu sisi wapinzani wa Arsenyo.
Umepata kwa kupumua Sasa

Ila manjesta Msimu huu nasema hivi mtakonda Sana

Yaan kumbahatisha Burney ,tayari mshaanza midomo
 
hii draw imeanza kufanya akili ziwakae sawa , bado kidogo tu akili zitakuwa zimewakaa sawa sawa kabisa.

Mbona kama vile unataka kumtupia lawama arteta hata na yeye ananunua na kuuza baadhi ya wachezaji wa muhimu , shaka kauzwa then kaja kai havertz, Rice kanunuliwa then kauzwa lokonga sasa shida iko wapi.
Namna navyotazama mpira na kuutafsiri kama mchezo nitofauti kabisa na wewe mkuu.
Naheshimu mawazo yako
 
Umepata kwa kupumua Sasa

Ila manjesta Msimu huu nasema hivi mtakonda Sana

Yaan kumbahatisha Burney ,tayari mshaanza midomo

Hopeless Fc yaani Arsenyani mkibahatisha hata top4 msimu huu mimi nitawaonyesha paka mwenye vichwa vitatu, mafanikio yenu makubwa msimu huu ni kubeba ngao ya jamii



#Arsenyo Ndoo
#Kai Kiatu
#Jorginho Ballon d'Or
 
msimu huu utakuwa mrefu sna.. ni bora arteta aikache carabao na FA ;timu ibaki na UCL na EPL tu.

kikosi bado kina ishu ya fitness kwa wachezaji wengi tu na wengine naona watachezeshwa games nyingi sna kupita uwezo.. ni kuuwa viwango namna iyo.
Tuliwahi sema humu Saka angepumzishwa au sub zifanyike kwa wakati. Imagine Saka akiumia? ndio msimu utaishia hapo!

Sikuona essence ya Saka kucheza zaidi ya dakika 60+ mechi ya PSV. Tukiendelea hivi tutapoteza wachezaji muhimu kwa majeraha.
 
Tuliwahi sema humu Saka angepumzishwa au sub zifanyike kwa wakati. Imagine Saka akiumia? ndio msimu utaishia hapo!

Sikuona essence ya Saka kucheza zaidi ya dakika 60+ mechi ya PSV. Tukiendelea hivi tutapoteza wachezaji muhimu kwa majeraha.
Zitto junior huaga una uoni wa mbali sana ndugu yangu, mambo mengi hua unasema mapema kabisa halafu yanakuja kutokea vilevile, hawa wanaokubezaga humu ndani sijui huo ujasiri huwa wanautolea wapi.
 
ZittoJr ,kuna kipindi ulisema Rice bado hajai. Master ile DM inamshinda na mimi nilikubaliana na wewe, ila kwa nilichokiona toka game na Wale Seleman (Nyumbu) had game ya leo PSV nimekubalo kua Rice ni Dm Pure kabisa na kaiweza kui master vzr kwa aslimia zote

Vipi kwa upande wako Rice bado haiwezi ile DM?
Vipi kwenye game ya jana Rice alijaa vizuri?
Sometimes mnatakiwa mkubali zitto junior hua ana jicho la mwewe, jamaa hua ana maono ya mbali ni vile tu kuna watu humu wamejigeuza ni mitume na manabii, wao wakisema ndio sahihi halafu wenzao wakiongea wanaambiwa hawajui mpira.
Zitto junior japokua hua napenda kumzingua ila huyu jamaa ni miongoni mwa mashabiki wa Arsenal wanaojua mpira.
 
Tulimsubiri Pepe kwa misimu yote 4 kwamba ipo siku ataonyesha uwezo wake.

Kai huko alipotokea hakua na impact yoyote na wao walisubiri misimu 4 afanye la maana ila wapi. Cha ajabu sisi tunampa huo muda kwenye mechi muhimu, kwanini asianzie benchi ajifunze taratibu? Atakuja kutucost kwenye mechi ya muhimu kisa hizi experiments.
daaaahhh we jamaa ikifika mwisho wa msimu halafu hamjishinda kombe lolote kuna watu humu lazima wataongea kua zitto junior aliongea haya mapema kabisa lakini alikua anabezwa.
 
Agent Gorginho akiwa kazini
IMG_20230924_193945.jpg
 
Hahaa very funny.
Kwa arsenal iliyopita miaka kadhaa nyuma anakosa key players kama
partey
Timber
Trossard
Martinell


Na bado kwenye Derby kama hii unapata draw.Its not ready but we see the light. Spurs walikuja wana uhakika kwamba hii game wanashinda.
They outplayed us yes but tumepata point moja
Bro mechi ya jana ilikuwa rahisi kwenye face zote,rahisi kuliko hata mechi ya everton,maana tot walikuwa wanafanya mistake nyingi sana wakati wanafanya build up,ile mechi mechi ilikuwa inaisha kipindi cha kwanza kabisa,point zote nne tulipoteza msimu huu sio kwasababu wapinzani walikuwa bora ila kwa sababu tumefanya makosa mengi,na jana kubwa lilikuwa la kiufundi,nketiah mechi nzima hakuwa kwenye form since filimbi ya kwanza,lakin kacheza dakika zote unawaza jana arteta alikwa amelewa ? au dabi imemfanya akaoverthinking,au Jesus alikosa goli kweli lakin alikuwa na mechi nzuri sana jana,unashangaa why alitolewa au aliomba kutoka,why usimtoe nketia mapema ukimpleaka kai kama force 9,then rowe akacheza number 8.asuimbui kudrop point ila point unadrop kwa nani,arafu siku hizi kila mechi kuna muda unafika tunaswitch off then tunaadhibiwa
 
Vipi kwenye game ya jana Rice alijaa vizuri?
Sometimes mnatakiwa mkubali zitto junior hua ana jicho la mwewe, jamaa hua ana maono ya mbali ni vile tu kuna watu humu wamejigeuza ni mitume na manabii, wao wakisema ndio sahihi halafu wenzao wakiongea wanaambiwa hawajui mpira.
Zitto junior japokua hua napenda kumzingua ila huyu jamaa ni miongoni mwa mashabiki wa Arsenal wanaojua mpira.
Second half baada ya Rice kutoka kiungo chote kikapoteana au ulikua unaangalia mpira SofaScore kaka.
 
Back
Top Bottom