Kakumamoto
JF-Expert Member
- May 6, 2015
- 1,499
- 2,222
KwaniniArsenal msimu huu kazi anayo
KwaniniArsenal msimu huu kazi anayo
Pengo la Partey limeonekana kabisa leo.... Jorginho sijui huwa anawaza nn yule jamaa....ametuchomesha goli la kipumbavu kabisa....point 4 ni nyng sana kumfukuza City....na naona watu wanatoka wanachechemea kabisa....tuombe wiki mbili hzi tuwe na kikosi kamili vngnevyo tukikutana na wale mabraza....tutawaeleza vzuri ile siku ya community shield kile kimbelembele tulikitoa wapiRice kaumia calf
Hakuna ambaye hakutani na mech kama hiziWazee wa kudanganyana vipi hamjambo
Tulikua tunacheza na mahasimu, sio suala dogo kama kucheza na nyumbu. Elewa hiloWazee wa kudanganyana vipi hamjambo
Haya maneno umesema baada ya Spurs kuwanga'ang'aniaTukiweka ushabiki pembeni bado city ni bingwa tena kwa Mara ya 4 mfululizo tu.
japo kukubali ndo uwa ni ngumu Ila sioni timu ya ku battle na city msimu pamoja na injury lakini bado wapo imara inaumiza kwa timu nyingine kuwa tumekuwa wasindikizaji tu.











Kwani alikuwa na shida gani?We miss you Trosard wherever you’re
TrueKuna baadhi ya wachezaji tunawaona kama ni sehemu ya kikosi ila in his mind ( arteta ) ni wa mpito tu.
Yaani anakuwa mzururaji tu maamaaeee....Joginho,nketiah hawa ni squad player tu.
Zin mech kama hizi hasa kama hakuna mido kama partey,hauna winger anayeshuka kama martinell na hauna a very compct midifield duo ambayo inaweza dictate mchezo,ni bora kumuacha nje.
Vinginevyo unawapa kazi ya ziada sana centre backs
Jorginho aisee hizi sio mech zake ,asubiri CarabaoHaya wale mliokua mkitaka Jorginho acheze huyo hapo sasa!
Acheni maneno yenu,Hizi ndio mechi za kuona kama mna timu ya Title Charge na sio kelele zenu.Hakuna ambaye hakutani na mech kama hizi
Bora angeingia Elneny, Jorginho kazingua sanaYaani anakuwa mzururaji tu maamaaeee....