Smith Rowe
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 4,512
- 9,552
Kwa maoni yangu nadhani bado hatuna timu ya kushindania makombe makubwa, labda top four ubingwa tumuachie city ata tukiushinda itakuwa ni bahati tuu.
Mech moja imekumaliza?.Kwa maoni yangu nadhani bado hatuna timu ya kushindania makombe makubwa, labda top four ubingwa tumuachie city ata tukiushinda itakuwa ni bahati tuu.
Huyu sio mpambanaji kwahiyo sio rahisi kuumia wa hivi huwa hawaumiiAlafu cha ajabu haumwi wala kuumia.... Yaani fitness ni 100%. Ilihali watu muhimu kama Martinelli ndio wanaumia.
Kwa maoni yangu nadhani bado hatuna timu ya kushindania makombe makubwa, labda top four ubingwa tumuachie city ata tukiushinda itakuwa ni bahati tuu.
Partey haruhusu dharauBissouma jana katakata haswaa... Nadhani tungekuwa na partey tusingeteseka kiasi kile..
Pekee yake linaweza kuwatuliza wapinzani pale kati.Partey haruhusu dharau
Good News
Arsenal believe Declan Rice's back injury is NOT long term... with Mikel Arteta confident Rice will be available against Manchester City.Mkuu acha utani.yaani huyaoni maana yake ulikuwa unayatafuta.Mimi sitaki awepo kabisa mpuuzi anacheza akiwa na midtable team mindSioni maisha ya Eddie nketiah pale arsenal
Ili uigilizie au?taja yako kwanza ndo tuendeleeMwaka huu mna malengo gani, nyie hopeless fc
1.??
2.???
3.????
Nyie hakuna kitu mna achieve, yenu ni kusalia EPL.Ili uigilizie au?taja yako kwanza ndo tuendelee