Labyrinth 84
JF-Expert Member
- Feb 13, 2017
- 1,093
- 3,151
Kumbe matatizo ndo huwa yanatokea huku, mnafanya pressing wenyewe kwa wenyewe mnajua basi ndani ya game itakuwa ivyo ivyo.
Nakumbuka arteta alishaweka na spika kubwa pale colney zikawa zinapiga kelele za anfield basi akajua tayarii hapa akajua akifika pale anfield watakuwa kama wapo mazoezini

. Jorginho alikua ana apply mambo ya mazoezini akajua na spurs wataenda kichwa kichwa kama saka.

