arsenal2004
JF-Expert Member
- Feb 12, 2023
- 2,328
- 4,315
Leta hoja tu discuss....inaonekana msimu huu hatutakiwi kufungwa maana tume draw tu walimwengu mmetushukia kwlikwli🤠🤠🤠....Man U naangalia ratiba yenu nione ni wiki gani mtaanza kumtukana bwana Rashidi Makame tena kwa ubinafsi wake🤠🤠🤠....




Victor Osimhen [2020]