Tulimsubiri Pepe kwa misimu yote 4 kwamba ipo siku ataonyesha uwezo wake.Good game kwa Kai leo.
Ila acha niungane na akina Hamisi (masingeli by flano), kuhusu kumpa muda Kai na kuzidi kumpa sapoti.
Some of Arsenal fans ni kama tunataka afeli jamaa. Huku banda umiza, Kai akiwa na mpira tuu, basi mashabiki zaidi ya 10 unawasikia wakisema "anapoteza sasa hivi".Mara amefanya hivi, angefanya vile.
Nadhani tunachokitaka fans kutoka kwa Kai, na anachokitaka Arteta ni tofauti kabisa kama alivyowahi kugususia mkorea (chawa wa masingeli by flano) Its better tukaendelea kumuamini Arteta.
Ilikua wazi kabisa kuwa Partey alikua better kipindi kile ndio maana kocha aliwaweka wote wawili Kila mechi Ili ajifunze taratibu but Rice alikua na ubora tokea akiwa West Ham ilikua ni suala la muda tu.ZittoJr ,kuna kipindi ulisema Rice bado hajai. Master ile DM inamshinda na mimi nilikubaliana na wewe, ila kwa nilichokiona toka game na Wale Seleman (Nyumbu) had game ya leo PSV nimekubalo kua Rice ni Dm Pure kabisa na kaiweza kui master vzr kwa aslimia zote
Vipi kwa upande wako Rice bado haiwezi ile DM?
Kai apewe muda.So far wanataka mchezaji afeli ,hii Tabia wameitoa kwa mashabiki wa nyumbu
Ila ukishajua Kai anatumikaje Arsenal Wala hutaingia kwenye hiyo mitego
Kai am, Trossard,rice,Vieira wanacheza LCM but kila mmoja ana majukumu tofauti na mwenzake
Mfano Kai majukumu yake acheze LCM lakin awe Kama second CF,
Jana kaanza mechi Kama LCM kamaliza Kama false 9
So Kai ataendelea kucheza sababu anatimiza majukumu yake vzr tu
| Mikel Arteta on Kai Havertz playing different roles in the game:
“He was very connected today in the game. It’s true that I ask him to play in two different roles in regard to the opponent’s behaviours. He’s so intelligent the way he does it. It’s just finishing one or two actions that we had again, but it’s coming and he’s so willing to do it.”
[@arsenal]
Napata shida ku- access hii thread through my phone; any help?
USARA ZA GWIJI WA HIGHBURY UCL RETURNS
Nianze kusema pengine Wengine watafikiri PSV ni wabovu hapana bali Arsenal ndio kawafanya waonekane inferior
Kufika Game Dhidi Arsenal walikuwa hawajapoteza Mchezo wowote kwenye michezo yao 25 iliyopita ( Unbeaten run )
Nakifikiri unaweza kupata picha kwamba Arsenal alikuwa superior kimbinu kimchezo kumzidi PSV
Nianze kusema Kitu cha kwanza ambacho kiliwashitua Wengi Ramsdale kukaa bench Match 2 mfululizo ila kadri match inaendelea tactically nilielewa kwanini
Arteta Anahitaji kutawala mchezo ili utawale mchezo lazima mpira ukae mguuni kama nikuanza pass Nyuma au kupiga mipira mirefu kuwepo na Accuracy
Raya distribution yupo vizuri sana ni mtulivu na pass zake nyingi uhakika game Everton baada Arsenal kuongoza goal 1 raya alipiga pass sahihi 11 kati 12 kitu kinafanya arsenal kuendelea kutawala mchezo
Match PSV long balls Raya kapiga pass 12 sahihi kati 17 alizojaribu hii ni zaidi nusu ya pass zake zote ndefu ziliwafikia walengwa
Sisemi Ramsdale Hawezi ila siku karibuni ata mwishoni msimu jana accuracy ya pass Ramsdale imepungua per 90minutes
Game palace baada sisi kuongoza alikuwa anapiga mipira mingi mbele inapotea hivyo pressure inarudi langoni kwetu au tunapoteza control mpira
Nafikiri Arteta anafanya hivi kumpush Ramsdale arudi kwenye best version yake yule aliyetoka Shelfield
Yote kwa yote tumecheza vyema kucontrol mchezo kucreate nafasi na kutumia madhaifu defense ya PSV kwenye marking kuwamaliza
kilichopoteza zaidi ni positional interchange ya Saka, Trossard , Ode , Kai hivyo kusabisha kuacha baadhi wachezaji Isolated na wakawaadhibu goal la trossard na Odegaard walikuwa isolated bila Marking adi wanapigaYaani Masingeli unatoka kucheza na PSV halafu anakuja kuwakandia Bayern na Madrid kua sio tishio?Nilisema baryen na Madrid sio tishio Tena
Flano na Genge lake mkohoti wanakwambia Ni uzushi
| Bayern Munich so far this season:
6 games
4 wins
1 draw
1 loss
️ 14 goals scored
10 goals conceded
️ 1 clean sheet
Cha ajabu wanaomuangalia makosa tu wanakwambia hajafanya kituJana nimemuangalia, alicheza vizuri

| Tim Sherwood: “Kai Havertz, for me, he’s not started the season but he looks a real player tonight,”Mhh. Mbona bei rafiki Kwa premier league striker mwenye experience?Fabrizio Romano says Brentford want 'something around 50 or 60 million pounds' for Ivan Toney.
Chelsea and Arsenal are 'well informed'.
Baryen unayoizungumzia sio hii, na Arsenal unayoizungumzia sio hii elewa HiloYaani Masingeli unatoka kucheza na PSV halafu anakuja kuwakandia Bayern na Madrid kua sio tishio?
Haya maneno unatakiwa uyaongee ukiwa umeshacheza nao na kuwafunga.
Kama unaona ni rahisi kumfunga Bayern goli 3 kama Man Utd tulivyofanya basi muulize mzee Wenger nini kilimpata alivyokua anataka kupishana na Wajeremani.
Kai ataendelea kucheza sababu anatimiza aliyotumwaJana nimemuangalia, alicheza vizuri

️ |
Another decent performance from Kai Havertz. He is just lacking confidence in front of goal. The rest of his output is fine.
90 minutes played.
46 touches.
93% pass accuracy (25 completed).
1 key pass.
1 big chance created.
6 ground duels won.
3 aerial duels won.
7.0 rating (@SofascoreINT)Nasikia Arsenal wameshaamza mazungumzo nae chini kwa chini huenda akajiunga JanuaryMhh. Mbona bei rafiki Kwa premier league striker mwenye experience?
Tukimpata huyu jamaa tutakuwa na luxury ya kutosha pale mbele....maana kuna mechi unaweza ukaanza na Jesus kama right wing na toney pale kati....Saka akapumzika maana anacheza mechi nyng sana kwa sasa....si nzuri kimwiliNasikia Arsenal wameshaamza mazungumzo nae chini kwa chini huenda akajiunga January
Mikel juz kasema anataka kila namba iwe na watu wawili wenye uwezo sawa
Eddie bado hampi changamoto Jesus