Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kwa kuwa Rice hayuko fit ndo amtoe mapumziko?

Huyo Nketiah kafanya nini kipindi cha kwanza chote.
Angemtoa Nketiah halafu Jesus akarudi kati then nelson acheze pembeni....na Saka angemtoa hata dk ya 80 then ESR akaingia...maana jamaa ni baller hasa....anyway tuombe mpk mwezi wa 10 tutakapokutana na yake majamaa yenye roho mbaya tuwe na kikosi full fit...vngnevyo yule sijui Foden na Alvarez wale washenzi watatuvuruga sana pale kati.... Jorginho atageuzwa mpk aombe kutolewa
 
Siwezi kusema Havertz kacheza vibaya, ila kuna muda una matarajio nae at the end anaku-disappoint.

Ana mwili mkubwa lakini bado anakosa physicality.

Kuna muda anapewa mpira pembeni lakini unakosa kabisa matumaini kama atafanya jambo la maana.

Mimi nitaendelea kulia na Arteta tu! Anajikuta ni genius kumbe hamna kitu.
 
Tukiwa kamili na kile kikosi cha kwanza chte....we have a chance ila hiki kiungo cha Jorginho hakyanani tutaomba mpira uishe
Na city nayo ikiwa kamili jee tuseme mpo full fit squad na city wako full fit squad aisee city ni dimension nyengine wale

They are regarded as the best team right now for a reason na wengi wanaojua mpira wanalijua hilo ila still mtakuwa na something to prove mkiwa full fit
 
Kwa ambao hawajaangalia mpira kabisa, kwa kifupi leo tulikua ugenini!

Spurs walikua better team mwanzo hadi mwisho wa mechi. Ile sharpness!

Na nadiriki kusema walistahili kuondoka na point zote 3.
Masingeli anakwambia Jojinyo leo ndio MoM, vipi Kai Harvez leo alikua ananyumbulika kama kawaida yake?
Nimesikitika sana mechi ya leo nimeikosa nilikua msibani, raha sana kuangalia Teta ball inapigika au ina draw
 
Tukiwa kamili na kile kikosi cha kwanza chte....we have a chance ila hiki kiungo cha Jorginho hakyanani tutaomba mpira uishe
Last season kawapiga aggregate ya (7-2)
Away 1-3
Home 4-1

Siri yakuwafunga hawa ni kuwa heshimu na ku display mpira mzuri but mainly ni kum outplay pep's tactics easy win kwenu mbali na hapo ata invert mid field isiyo eleweka mkapoteana hapo kati

Nina 100% kwasasa kipara chake kinawaka moto ku overcome pengo la rodri hapo anapiga hesabu za kumpeleka ederson CM acheze na stones mpaka apate jibu maana akikutana na arteta anataka amuonyeshe mwanafunzi wake kuwa still yeye ndio mentor wake and it will always be lik that

Moto utawaka
 
Sasa unashindwa kumfunga Spurs halafu uutake ubingwa.

Game week 6 droo 2 bado hujacheza na City, Liverpool, Newcastle, Brighton. Amkeni nyie mwaka huu hamna ubavu wa kugombania ubingwa.
Dah mkuu huu ujasiri unautoa wapi?
 
Siwezi kusema Havertz kacheza vibaya, ila kuna muda una matarajio nae at the end anaku-disappoint.

Ana mwili mkubwa lakini bado anakosa physicality.

Kuna muda anapewa mpira pembeni lakini unakosa kabisa matumaini kama atafanya jambo la maana.

Mimi nitaendelea kulia na Arteta tu! Anajikuta ni genius kumbe hamna kitu.
Arteta aache u genius.He still has alot to learn.
 
Hawa top four yao,, ila sio ubingwa.

Na tim za msimu huu sio mbovu kama msimu uliopita
Hahaa very funny.
Kwa arsenal iliyopita miaka kadhaa nyuma anakosa key players kama
partey
Timber
Trossard
Martinell


Na bado kwenye Derby kama hii unapata draw.Its not ready but we see the light. Spurs walikuja wana uhakika kwamba hii game wanashinda.
They outplayed us yes but tumepata point moja
 
Na city nayo ikiwa kamili jee tuseme mpo full fit squad na city wako full fit squad aisee city ni dimension nyengine wale

They are regarded as the best team right now for a reason na wengi wanaojua mpira wanalijua hilo ila still mtakuwa na something to prove mkiwa full fit
Ndo maana nikasema we have a chance....sijasema tutashinda....fully fit squad against them then unaweza ukapata kitu....ila tukianza na hiki kikosi kilichomaliza leo...aisee Saliba na Malgalhaes watakuwa na siku ndefu sana siku hyo
 
Back
Top Bottom