Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hata kama ni role tofauti lakini Kai hajitumi,hebu angalia jinsi Ode anavyohaha Uwanja mzima,lakini Kai hata akiwa na Mpira mashabiki roho juu kwamba atatoa pasi vizuri maana muda wowote ni maboko tu!!!na kumbuka huyo ni mzoefu wa EPL sio mgeni,yule kama kucheza awe anaingia dakika za 75 huko na hapo tuwe na uhakika tunaongoza kwa magoli angalau 2,zaidi ya hapo ni mzigo tu,anawanyonya sana wenzake,kwangu ni MATUMIZI mabaya kumchezesha Kai uwanjani tena dakika 80 wakati nje kuna kina Smith Rowe,Neilson, Viera,Trossad nk
Sidhan kama ni kweli Kai anapoteza Sana mipira , accuracy yake ya pass sio mbaya Sana ,pia ndiye mchezaji anaye cover au aliyekimbia Sana kwa Arsenal takwimu zinasema hivo ,

Kai alifanikiwa UCL hasa EPL kipind Cha Tuchel bado hakufanya vzr Sana, pale chelsea wamebadilishwa makocha wengi kwa kipind kifupi , sidhan Kama Kuna mchezaji katoka Chelsea hii iliyovurugika ame settle , Tena Kama ukienda timu isiyo na mfumo rasmi ndio unapotea mazima,

Ila unakumbuka Øde alikuja kwa mkopo miezi 6 Arsenal ,hakufanya chochote , Partey pia alikaa karibu miezi 6 ndio akaanza kucheza vzr ,zipo interview Partey anasema kabisa amekuwa akivurunda, had January 2020/21 Kama sikosei ndio Partey alianza kucheza vzr

Kai mechi 4 tunataka kumkatia tamaa ?

Nilifatilia kwanini Arteta alimsajili Kai ,nikagundua sababu anaamini atamsaidia kwenye False 9 akihitaji kumtumia hapo like vs Mancity , sababu tukiweka ushabiki na chuki ,unapotaja false 9 wanaojua kupress Kuna Jesus ,Kai hawachoki na Wana press kwa Akili , lakin tulikuwa hatuna CF wa kucheza mipira ya juu tukihitaji hivo, ndio sababu ya kumnunua Kai ,

Lakin kumtumia Kama LCM, hapa ndio anahitaji muda hata mechi 20 ndio ataanza kucheza vzr ,uzuri Kuna maeneo hayamsumbui Kama movement anapotakiwa kurudi chini ,kwenda kushambulia ndio maana unamuona anakosa hata magoli ,anaongeza namba ya viungo ,

Tatizo lake anacheza kwa pressure,
 
Hapo umesema ukweli. Na mimi nakwambia kuwa Kai siyo m bovu ni vile tu bado hajaingia kwenye mfumo. Kwa hyo nakubaliana na wewe kuwa Kai hatakiwi kuanza kabisa kwenye game yoyote ya EPL au UCL
Kule UCL ndio anatakiwa acheze na kina Trossard,Raya , Vieira, Nelson,

Lile kundi la UCL ni kundi jepes , yaan pale Sevilla ndio anaonekana mwenye afadhali na ameuza key players,anamrudisha Ramos miaka 36 Kama beki tegemeo .
 
Arsenal never wanted to sell Gabriel Magalhaes this summer; never a concrete option despite interest from Saudi, not even a negotiation between clubs

"Not even for €200m!", this was the comment from sources close to negotiations replying to Gabriel-Saudi links.
 
Saka at 18 in the 2019/20 season.

12 assists

4 goals

He played as a Leftback that season
20230905_135515.jpg
 
Declan Rice said Arsenal's All or Nothing documentary was one of the factors why he chose us.

Arteta's team talks hit hard
 
Wenger orphans mnapiga kelele hapa lakini hii ndo chance yenu ya kubeba ubingwa mwaka huu.

Usiulize Manchester ipo ngapi.
Screenshot_20230908-130719.jpg
 
Arsenal are moving closer to reaching an agreement with Martin Ødegaard on a new long-term deal.

Arsenal have offered the Norwegian superstar a brand new deal until 2027 + 1 year option.

He will become the highest paid player at the club
20230907_022748.jpg
 
Kai Havertz:

"I've said often enough that the striker position isn't a bad thing for me.

I played as the nine at Chelsea for what felt like a year and a half and was very successful.

"I try to play the position in the best possible way and be successful."
 
Hii timu haipo serious bado Havertz kuondoka bure kama Pepe Kale

2023: Havertz joins Arsenal for $85.4 m

2027: Arsenal sell Havertz for £3m😂
 
Martin Ødegaard kuhusu Mikel Arteta akimfundisha mambo katika soka ambayo hata hakuyajua :

"Kuna maelezo mengi kwenye mchezo ambayo sikuwahi yafikiria. Ikiwa mpinzani atafanya hivi, basi mimi hutakiwa kufanya hivi. Nikisimama pale, mwili wangu unapaswa kuwekwa hivi. Wakati mpira upo, lazima nishambulie nafasi hii.

"Kuna maelezo madogo kila siku katika mazoezi ambayo haujafikiria sana, halafu unaambiwa juu yake, na kisha unagundua ni kiasi gani yana maana.


" [TV2] #af
20230908_155158.jpg
 
Hii timu haipo serious bado Havertz kuondoka bure kama Pepe Kale

2023: Havertz joins Arsenal for $85.4 m

2027: Arsenal sell Havertz for £3m

Acha upigaji ramli ndio maana tuliwakanda sababu ya mdomo

Arsenal Hatuwez kumng'ang'ania Pepe wakati haendan na mfumo wa mwalimu ,Hatuwez ku demand Bei kubwa abaki aongeze quantity kikosini


Sisi sio mnayumbu mmeshindwa kuvunja mikataba ya kina magwaya ,makitominay, Anthony masebene,masho,,Sancho, mna demand pesa kubwa halafu wanaishia kujaza nafasi mnasajili kina Evans


Arsenal ya Mikel haioni shida kukuvunjia mkataba Kama huitajiki ,uliza kina Ozil,Auba walivunjiwa mikataba ,tungekuwa na akili Kama za 7hag had leo kina Ozil, Auba,lacazette, mustafi wangekuwa wachezaji wa Arsenal,Kama Phil Jones,magwaya walivyodumu manjesta
 
Hofu yangu ni ule mshahara anaokunja Kai
At the moment yeye ndio most paid player pale arsenal

Je Hii haitaleta shida katika dressing room?

Unakumbuka Nketiah alivyozinguana na Cebalos kipindi yupo kwetu kwa mkopo?
Nketia na Cebalos walizinguana nini?
 
Sidhan kama ni kweli Kai anapoteza Sana mipira , accuracy yake ya pass sio mbaya Sana ,pia ndiye mchezaji anaye cover au aliyekimbia Sana kwa Arsenal takwimu zinasema hivo ,

Kai alifanikiwa UCL hasa EPL kipind Cha Tuchel bado hakufanya vzr Sana, pale chelsea wamebadilishwa makocha wengi kwa kipind kifupi , sidhan Kama Kuna mchezaji katoka Chelsea hii iliyovurugika ame settle , Tena Kama ukienda timu isiyo na mfumo rasmi ndio unapotea mazima,

Ila unakumbuka Øde alikuja kwa mkopo miezi 6 Arsenal ,hakufanya chochote , Partey pia alikaa karibu miezi 6 ndio akaanza kucheza vzr ,zipo interview Partey anasema kabisa amekuwa akivurunda, had January 2020/21 Kama sikosei ndio Partey alianza kucheza vzr

Kai mechi 4 tunataka kumkatia tamaa ?

Nilifatilia kwanini Arteta alimsajili Kai ,nikagundua sababu anaamini atamsaidia kwenye False 9 akihitaji kumtumia hapo like vs Mancity , sababu tukiweka ushabiki na chuki ,unapotaja false 9 wanaojua kupress Kuna Jesus ,Kai hawachoki na Wana press kwa Akili , lakin tulikuwa hatuna CF wa kucheza mipira ya juu tukihitaji hivo, ndio sababu ya kumnunua Kai ,

Lakin kumtumia Kama LCM, hapa ndio anahitaji muda hata mechi 20 ndio ataanza kucheza vzr ,uzuri Kuna maeneo hayamsumbui Kama movement anapotakiwa kurudi chini ,kwenda kushambulia ndio maana unamuona anakosa hata magoli ,anaongeza namba ya viungo ,

Tatizo lake anacheza kwa pressure,
I got u
 
Nketia na Cebalos walizinguana nini?
Nketiah alikua amtuhumu Cebalos hajitumi, kwaio yupo kwa maslai zaid
Kuna day kwenye warm up, nketiah alimuingia rafu ya kimakusudi Cebalos, wakashikana mashati. Uzuri waliamuliwa, clip ilizagaa sana
japo nketiah alikuja kuomba msamaha.
 
Arsenal are looking to score their 900th Premier League away goal when they meet Everton. They currently sit on 899.

Who will score the milestone goal?

100 – Ian Wright v Nottm Forest 21/12/96
200 – Rio Ferdinand OG v West Ham 21/10/2000
300 – Gilberto Silva v Leeds 1/11/03
400 – Flamini v Reading 12/11/07
500 – Walcott v Wigan 18/4/10
600 – Walcott v QPR 4/5/13
700 – Özil v Watford 27/8/16
800 – Bellerin v Chelsea 21/1/20
 
  • Thanks
Reactions: Ccc
Unakumbuka mech na Everton mwaka Jana walitunyanyasa sababu ya mipira ya juu

After international break tunaenda kwao ,Sean Dyche Kama kawaida atatumia mipira ya juu

Sitashangaa hiyo mechi Kai akaanza Tena Kama LCM kivuli kusaidia false 9,
Binafsi namuona Kai kwenye vivuri vya ozil

Tutumie double 8 (ode na Kai)
Single pivot (Rice)
Tisa asimame Jesus or nketiah, so far wote wapo vizuri

Positional player Kai na Jesus/nketiah watakua Wana press

Kwenye kushambulia Kai na ode as advanced Midfielders
Huku zinny akija ku-overload kwenye dimba akiungana na rice
Kai na odegard kaziyao ni kutafuta vyumba
Shoots outside the bx, Kama goal alilopigwa nyumbu juz
Assists

From my perspective
 
Arsenal are looking to score their 900th Premier League away goal when they meet Everton. They currently sit on 899.

Who will score the milestone goal?

100 – Ian Wright v Nottm Forest 21/12/96
200 – Rio Ferdinand OG v West Ham 21/10/2000
300 – Gilberto Silva v Leeds 1/11/03
400 – Flamini v Reading 12/11/07
500 – Walcott v Wigan 18/4/10
600 – Walcott v QPR 4/5/13
700 – Özil v Watford 27/8/16
800 – Bellerin v Chelsea 21/1/20
 
Back
Top Bottom