computerarsenal
JF-Expert Member
- Jan 27, 2020
- 3,479
- 6,033
Heee tumepigwa na nyumbu?tambo zote za hamis77 na wengineo tumekandwa?
Kamba mbili half time tayariii vikao 2 , tulisema hii timu ni upepo tu.
Sizioni hizo mara timber anaingia kati mara sijuiii zincheko maneno kibao mpira zero







Kwa hiyo?hivi unajua maana ya ushabikiKuna kajamaa humu kanapiga kelele sanaaa muda wote ni kelele mpaka muda huu kamenyuti.![]()
Blood fans kama sisi tunakaaga kuangalia kelele zao OK nasubiri visingizioKuna kajamaa humu kanapiga kelele sanaaa muda wote ni kelele mpaka muda huu kamenyuti.![]()
Tangu mwanzo tulisema arsenal ikishinda sio habari ila wakipigwa ni breaking newsHeee tumepigwa na nyumbu?tambo zote za hamis77 na wengineo tumekandwa?





No ni mpira tu kama mpira.na ndo maana ya friendliesNasubiri visingizio kama Arsenal haitashinda I am sleeping nikiamka nitasoma comments
Kubali team yetu ina kelele za mtandaoni but in general kwa football we are poor dailyTangu mwanzo tulisema arsenal ikishinda sio habari ila wakipigwa ni breaking news![]()
Ni mtazamo wako na ni haki yako.unajua kwanini mechi kama ya leo ni muhimu?.kuna mengi ya kujifunza kuliko matokeo.Kubali team yetu ina kelele za mtandaoni but in general kwa football we are poor daily
Mkuu upo sahihiKushtukiza wapi bhn. Sijui matokeo ya mwisho yatakuwaje ila first half man u wamecontrol mechi.
Give credit where it is due. Shida yako ni kwamba hutaki ku acknowledged hatua ambazo Man u imepiga.
Nimependa sentence yako "we are" that mean a lot.Kubali team yetu ina kelele za mtandaoni but in general kwa football we are poor daily
HahaaaaMkuu upo sahihi
Aya hii second half nyumbu bado wameishika game
Magwaya ata Kama anatafuta namba daah
Usijidanganye eti Friendy Match........Hiyo ilikuwa ni Real Test kwenu na imeonyesha bado hamjawa tayari kwa Msimu.Mpira umeisha nyumbu wanatamani kushangilia, Ila wanagundua kumbe ni friendly tu![]()
Sawa mkuuUsijidanganye eti Friendy Match........Hiyo ilikuwa ni Real Test kwenu na imeonyesha bado hamjawa tayari kwa Msimu.