Camilo_Cienfuegos
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 11,378
- 15,384
Ni mtazamo wangu ,nikizingatia tunavyocheza ,
Wachezaji gan hao wawili wataje , ambao wakiingia moja kwa moja watakupa ambacho waliopo hawakupi
Casemiro na Martinez
Ni mtazamo wangu ,nikizingatia tunavyocheza ,
Wachezaji gan hao wawili wataje , ambao wakiingia moja kwa moja watakupa ambacho waliopo hawakupi
haitakuwa habari Tukishinda
Ila itakuwa breaking news mkishinda



Masebene kwa jinsi unavyomnanga ana hasira sana na nyie, leo zile curve zake kama hajazamisha wavuni 2 basi itakua 3.Wote hao ni backup tu kwa Mc wa Masingeli.Casemiro na Martinez
Casemiro hawez kucheza lone DM kwa timu zinazotaka ku possess ,Madrid pale wanacheza chini kuchukua mipira ni Kross na modric ,sababu casemiro sio passed mzuri ,ila ni mkabaji mzuri ndio maana kacheza mech kadhaa EPL ana kad za njano na nyekundu zakutoshaCasemiro na Martinez
Mm nipo ila mkishinda nitawaacha kwanza mtoe matusi yenu kwanza maana Sasa hivi mmejificha mnasubiri mshindeMasebene kwa jinsi unavyomnanga ana hasira sana na nyie, leo zile curve zake kama hajazamisha wavuni 2 basi itakua 3.
Kikubwa kesho uwepo tu humu, tunakuomba mapema kabisa usitukimbie humu jukwaani kwa mechi tu kirafiki.
Wachezaji wenu wengi Kama wamefungwa mawe miguuniWote hao ni backup tu kwa Mc wa Masingeli.
Mashabiki wa Man Utd karibia wote ni wastaraabu na wanajilewa.Mm nipo ila mkishinda nitawaacha kwanza mtoe matusi yenu kwanza maana Sasa hivi mmejificha mnasubiri mshinde
Wewe tu ndio huwa una roho ya paka
Shida yako wewe ni mchocheaji mkubwa wa watukanaji humuMashabiki wa Man Utd karibia wote ni wastaraabu na wanajilewa.
Ukitaka matusi yapo humu banaaahhh, hili jukwaa lenu ndio linaongoza kwa matusi, kila msimu hua linashinda medali ya dhahabu kwenye tuzo za matusi.
Shaw ajiandae tu
Rice akiwa Westham aliwahi kamata viungo wenu woteMuda kaka haufiki ivi..Natamani nione MM anavyonipikia watu leo kina Joginyo na Basmat Rice na Gabriel
Unaongelea game moja??Sisi captain bruno anawakimbiza kila siku tukikutana sio Home sio Away..Rashidi je??Acha mda ufike tu...Rice akiwa Westham aliwahi kamata viungo wenu wote View attachment 2696434
Huyo analilia Lia na marefa tuUnaongelea game moja??Sisi captain bruno anawakimbiza kila siku tukikutana sio Home sio Away..Acha mda ufike tu...
Shida yako wewe ni mchocheaji mkubwa wa watukanaji humu
Sio kwamba mm nakimbia no, wakija watukanaji , nakaa kimya wapite ,


sio kweli Mkuu, mara nyingi mimi hua nawakemea humu hata pale mnapoanza kutukanana wenyewe kwa wenyewe. Duh wewe jamaa bhanasio kweli Mkuu, mara nyingi mimi hua nawakemea humu hata pale mnapoanza kutukanana wenyewe kwa wenyewe.
Wewe Masingeli roho yako tu ni nyepesi, kila mnapochezea kipigo lazima ule kona hata usisingizie matusi.
Kila ukifikiria jinsi unavyoiaminisha misukule ya humu kua Arsenyo hii ya Arteta ni zaidi Barcelona na Madrid nafsi inakusuta unaamua kujipiga ban tu mwenyewe.

