allypipi
JF-Expert Member
- May 10, 2020
- 3,322
- 10,887
Underdog kivipi labda Mimi ndo sielewi yani msimu ulioisha tumegawana point Leo hii useme saizi Mimi ni underdog wako.Sasa wewe subiri leo tutakachowafanya , kwasasa mnaingia kucheza na sisi Kama underdog
Hata makampuni ya kubashiri yamewachukulia Kama underdog
Ndio maana nasema mkishinda itakuwa habari , Tukishinda haitakuwa habari
Miaka ya Sasa nyie mmekuwa underdog

