allypipi
JF-Expert Member
- May 10, 2020
- 3,328
- 10,933
Yani mjawai kutufunga hata goal 4 tu tushakuwa underdog wenu pole Ndugu naona unajifariji maana toka Wenger kawaacha mmekuwa kama orphans vile kazi kupiga kelele tu hapa.Historia haitasaidia leo kukwepa kipigo
Kwasasa mnaingia Kama undrrdog
Game hii sisi tutakuwa tunapasha tu na makinda Leo ndo mtajua mmepigwa au.

