Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

timu nzima imecheza ovyo kipindi cha kwanza.. makosa mawili ya ramsdale na GM6 ndio yameipa mabao ya kuongoza man utd.
 
Tunaambiwa Rice ni kiongozi uwanjani. Labda uongozi wa kuongoza vikao vya Zincheko vya kufundisha pressing, kuinvert RB LB, na kuoverload
IMG_20230723_010211.jpg
 
Tunaambiwa Rice ni kiongozi uwanjani. Labda uongozi wa kuongoza vikao vya Zincheko vya kufundisha pressing, kuinvert RB LB, na kuoverload
View attachment 2696560

Hivi vikao tulishavikataaa yaani vikao haviishi hasa sijuiii huwa zincheko anawaambia nini embu fikiri game na Brighton zile 3 vikao vilikua jumla 4, kabla ya gemu na hivyo vya magoli 3
 
Nyumbu kumbe hawapo vibaya Sana bhn, naona msimu huu mpira utakua wa kustukiza stukiza tu

Why?
Hawana watu wa kukaa na mpira
Kwaio muda mwingi watakua wapo nyuma katika michezo yake mingi ata akicheza na Aston Villa

Ten hag ashastukia hili bomu bila kwenda nalo hivi x-mass sifiki
Kushtukiza wapi bhn. Sijui matokeo ya mwisho yatakuwaje ila first half man u wamecontrol mechi.
Give credit where it is due. Shida yako ni kwamba hutaki ku acknowledged hatua ambazo Man u imepiga.
 
Back
Top Bottom