Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

nawakumbusha, mkienda Italy msisahau kubeba pampers kwa ajili ya hivyo vitoto ushuzi vyenu.

Udinese wamecheza mpira mzuri kuliko nyie ambao mlikuwa kwenu.


Udinese wamefanikiwa kumtoa Man of the Match na nyie mmefanikiwa kulitoa Chamakh kama flop of the Match...


Dah naimani mtu kama Ljungberg, Pires, Henry, Maestro Bergkamp, Kaka mkuu Vieira, Martin Keown, Babu Tony Donkey Adams wakiiona assnail hii machozi yanawabubujika.
Yaani Assnail ni uharo kwa sasa mpk aibu hata kujitangaza kuwa wewe ni mshabiki wao.

arsenal ni ushuzi na ni bora kasepa...
Timu kila siku inasukwa na haikamiliki, kama si usakala ni nini?
Fabregas kaja ana miaka 16 kaambiwa timu inasukwa mpaka uso umemjaa madevu na keshakomaa bado anaambiwa timu inasukwa...

tumeona timu kama REal Madrid ikisukwa na tofauti unaona, timu kama Inter Mourinho aliisuka kwa misimu miwili tu na ikabeba makombe yoote.

Sasa hiyo Assnail inayosukwa kila msimu halafu inaruhusu watu kama Flamini, Hleb, Henry, Clichy, Cesc, Gilberto na wengine weeengi kuondoka ile hali wao ndio wangekuwa mashujaa wa kupigana na kupata vikombe.

Wenger ni Gagulo na anatakiwa afukuzwe na kulambwa viboko 12 ili akamuonyeshe Mkewe anayempaga mawazo mgando kama hayo.


nimefurahi Cesc kuondoka, sasa bado Van Persie na Nasri.

Wapuuzi wakubwa hawa yaani timu iko Dunia ya kwanza halafu wanaleta uongo na porojo kama za CCM wanaojishauaga kuwa uchumi wa taifa utapanda hivi soon na bei ya mafuta, umeme vitashuka. Tutajenga barabara za juu.....puuumbav



Mkuuuuu... JF # 1 arsenal hater... ONGEA! SASA


HEHEHEHE
 
Wakuu tupeane next line-up na Man United Jumapili.

Szczesny, Jenkinson, Djourou, Vermaelen, Sagna, Walcott, Chamakh, Arshavin, Ramsey, Rosicky, van Persie.

Subs: Fabianski, Oxlade-Chamberlain, Traore, Miquel, Eden Hazad, Jack Wilshere.

Prof knows ... .... ..... ....
 
Wacha fujo mkuu khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee kwani ulifikiri chichi hatujui soka ... ...
Hahaha mkuu tangu kipenga cha mechi ya kwanza niliwaambia mshapita.. Champions League hainogi bila Arsenal. Channel 5 waachieni Fulham wanakujulia kule kwenu uku jumanne na jumatano.
 
...naamini wapiga bodi watapungua kidogo kwenye jamvi letu, khaaa...hamtupi hata nafasi? Arsenal chama kubwa, msiwe na wasi wasi...
Together we stand, pamoja daima..kama kawaida..
Wewe na we siku hizi umekuwa mtu wa kuonekana mkishinda tu au majukumu ya ujenzi wa Taifa yalikubana?
 
Focus jumapili sasa wacha tupongezane biashara imeisha na tumejiongezea mkwanja wa £25 millioni pamoja na zile £90 millioni Wenger sasa ana mpunga wa kutosha kuleta vifaa vya kueleweka.
Wacha na tutege masikio.

Hizo pound ulizozitaja i hope Board nao hawazitolei udenda lol.
 
Babu kasema post match interview kwamba vifaa vinaweza kuja ila hawezi kutaja majina, na amemalizia kusema maybe even tomorrow ! Naona kuna target alikuwa anasubiri matokeo ya leo kabla ya kukubali kumwaga wino, stay tunned!!!!
 
Babu kasema post match interview kwamba vifaa vinaweza kuja ila hawezi kutaja majina, na amemalizia kusema maybe even tomorrow ! Naona kuna target alikuwa anasubiri matokeo ya leo kabla ya kukubali kumwaga wino, stay tunned!!!!

Yaap. Kuna wachezaji walikuwa wanasubiri results za leo.

Tuendelee kuvuta subira, huwa ina vuta kheri saa nyingine.
 
Timu inakosa mchezaji wa kuwaongoza mpaka sasa hivi, mtu amabae atakuwa an sauati ya kuwapa moyo hata wakiwa down. Muhimu sana hii kwenye timu. Van persie mpole flani sio, i hope wote watajituma na kuonesha kwamba wao pia mastaa na wanaweza kuendeleza Arsenal kwa nguvu zote.
 
pheeeeeeeeeeeeeeeeeeewwwwwww!!!!!!!!! khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!
 
hongereni Fat Arses! Naona sasa angalau mtapata wachezaji wa kusajili maana hakuna aliyekuwa tayari kusign kucheza kule channel 5.
 
hahaha! kuna watu wabunifu Wamechakachua jina bana from SAMIR NASRI TO $AMIR NA$RI


Unashangaa leo?! Mbona ndio kazi ya washabiki wa Arsenal....wana wivu sana mchezaji akiama bado yuko kwenye kiwango wanammwagia mitusi ya kufa mtu....walimwita Ashley = Cashley, hawajaanza leo na hawataacha leo maana wachezaji wa miaka hii hakuna loyalty, it's all about money!
 
Unashangaa leo?! Mbona ndio kazi ya washabiki wa Arsenal....wana wivu sana mchezaji akiama bado yuko kwenye kiwango wanammwagia mitusi ya kufa mtu....walimwita Ashley = Cashley, hawajaanza leo na hawataacha leo maana wachezaji wa miaka hii hakuna loyalty, it's all about money!

Wacha Wivu wewe khe he khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Wakuu kwa kweli tuna kila sababu ya kujipiga kifua na mwenye wivu anaweza kujinyonga. Arsene Wenger amewambai ile board ya akina Kroenke kwamba pesa ya kufanya "shopping" ipo.

Who are in the shopping list:

article-2029494-0D62400700000578-160_468x360.jpg

Yann M'Villa mchezaji wa kiungo wa Rennes ya France atagharimu kiasi cha paundi milioni 22. ukizingatia Jack Wilshere bado anasumbuliwa na maumivu ya mguu.


jagielka_arteta_1979305c.jpg


Phil Jagielka (kushoto) na Mikel Arteta (kulia) wanagharimu jumla ya paundi milioni 28 na Everton wanahitaji pesa.

article-1314190305349-0D6228C800000578-410350_636x300.jpg

Raul Albiol (kulia) mkoba wa Real Madrid anaweza kusaidia kutatua tatizo la sehemu ya ulinzi na kumsaidia Thomas Vermaelen. Raul ana miaka 25 lakini pale Real yupo nyuma ya mabeki wengine kama Pepe, Ricardo Carvalho, Sergio Ramos na Rafael Varane. Anaweza akagharimu kiasi cha paundi milioni 10.

Lets wait and see.
 
hongereni Fat Arses! Naona sasa angalau mtapata wachezaji wa kusajili maana hakuna aliyekuwa tayari kusign kucheza kule channel 5.

Arsenal hata kama isingepita bado jina lake ni kubwa.... So tungesajili tu.... Kama QPR inasajili sembuse Goonerz???? Au unataka kulinganisha jina la Arsenal na lile la Chelsea??????
 
Back
Top Bottom