Richard
Platinum Member
- Oct 23, 2006
- 16,653
- 25,662
Tunawapashia Man Utd hapa!!
Lazima hiyo j2 kieleweke, with Eden Hazard at the centre
Lille tayari wametuuzia Gervinho kwahio sidhani kama watakataa kufanya business ingine ya Eden Hazad.
Tunawapashia Man Utd hapa!!
Lazima hiyo j2 kieleweke, with Eden Hazard at the centre
Lille tayari wametuuzia Gervinho kwahio sidhani kama watakataa kufanya business ingine ya Eden Hazad.
Inabidi tumpe ile jezi namba moja!Dogo anatutoa sana golini.
Ila bado Arsenal inahitaji mchezaji wa kiungo na beki na mshambuliaji.
Au wakuu mna mawazo gani?
Wenger kweli mchumi!Traore aliihitaji dakika zaidi ya 5 huyu ndio kiraka pekee kule kushoto, lakini AW naona anamuamini sana Jenkinson kwa vile dogo ana British bulldog character.
Traore aliihitaji dakika zaidi ya 5 huyu ndio kiraka pekee kule kushoto, lakini AW naona anamuamini sana Jenkinson kwa vile dogo ana British bulldog character.
Wakuu tupeane next line-up na Man United Jumapili.
Szczesny, Jenkinson, Djourou, Vermaelen, Sagna, Walcott, Chamakh, Arshavin, Ramsey, Rosicky, van Persie.
Subs: Fabianski, Oxlade-Chamberlain, Chamakh, Traore, Miquel, Eden Hazad, Jack Wilshere.
<br /><font color="#800000"><font size="4"><b>Prof ataleta wachezaji wawili ... ... I believe ... ... </b></font></font>
Haya kwa mara ya pili hongereni.....