<font color="#b22222"><font size="3"><span style="font-family: book antiqua"><br />
...Masanilo huo ni mtazamo wako, nami namtazamo wangu,....sawa bro?<br />
That's so low below the belt, WTF does that have to do with my support for ARSENAL?<br />
<br />
<b><u>Kila mtu mmoja wetu hapa ana sababu yake ya kushabikia huko anakoshabikia</u></b>.<br />
Kuna wale walioanza ishabikia CHELSEA sababu ya Mourinho, <br />
Mimi sishabikii Arsenal sababu ya Fabregas au Nasri...nashabikia ARSENAL!<br />
<br />
Narudia kusema tena,....Fabregas alianza manung'uniko tangu FLAMINI aondoke, since then...performance yake haikuwa<br />
sawa kama alivyobreak into 1st eleven baada ya Viera. Nasri pamoja na kipaji chake, tangu 2008 he's in and out of the team. Msimu wa 2010 -2011 katika mechi alizong'ara ni zile ambazo alicheza nafasi ya Fabregas, msimu ambao Fabregas amekuwa majeruhi muda mrefu kuliko misimu mingine. <i>Now, ---link---the--- two</i> kisha fikiria hao wawili <u>wameisaidia nini team</u> in terms of vikombe tangu 2006 todate!<br />
<br />
....huwezi nilazimisha theories zako eti nione Fabregas na Nasri ndio pengo wakati mtazamo wangu tofauti. Huo utakuwa ni ujinga uliotukuka. Sawa na mimi ning'ang'anie kukwambia CHELSEA mna pengo la Kerry Dixon, au Bobby Tambling...WTF? <br />
<br />
<u><b>The Winners! </b></u>Generation ya kina Viera was 'the Crop' of the Invicibles, <br />
</span></font></font><br />
<p style="text-align: center;"><img src="http://garythegooner.co.uk/invincibles/~Photo?id=936fde1f-684d-4241-89ba-824d106eebf2&width=0&height=0" border="0" alt="" /><br />
</p><br />
<font color="#b22222"><span style="font-family: book antiqua"><font size="3">...kama ni "pengo" ...ni hao <b>"THE INVICIBLES!"</b> walioondoka na ku retire! wanaomshabikia Fabregas kwanini wasianze ishabikia Barcelona anakoelekea? Kina bendera fata upepo wengi tu, <u>mfano;</u> waliohamia Real Madrid sababu ya Ronaldo, au Inter Milan sababu ya Mourinho,...<br />
<br />
...ARSENAL is the team and life has to go on!!!<br />
</font></span></font>