Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

I think sports is important for growing children and they should participate in their school sports meet days.
 
Mkuu wangu sana Kweli.....Nimekusoma vizuri sana....

Timu yetu(kwa kiwango walichoonesha juzi wakati wa game na Newcastle) bado ni mbovu mkuu...Hatuna kiungo cha kuaminika,hatuna beki 4 mzuri wa kusaidiana na kitasa TV5, hatuna beki 3 mzuri(Gibbs akiumia sijui nani atacheza,Traore?),hatuna mshambuliaji mfungaji mzuri wa kusaidiana na RVP pale mbele.....Pia Sagna akiumia sijui itakuwaje....

Mpira wa sasa ni pesa mkuu,ni pesa ndizo zimeifanya Chelsea ikawa tishio kwani iliweza kusajili wachezaji wa maana kiasi cha kutupoka ile nafasi yetu ya kuwa wapinzani na washindani wakubwa wa Man Utd kwenye title race ya EPL.....Ni pesa ndizo zinaifanya Man City kutuondoa kwenye Big 3 ya EPL....Na ni pesa ndizo zitatufanya tusiwepo hata kwenye Big 4 ya EPL.....Tatizo Arsenal si pesa,tatizo ni sera mbovu za AW na Directors wake.....Wanaweka pesa mbele kuliko maslahi ya timu.....

Haiwezekani Arsenal iliyokuwa tishio kubwa katika EPL,ambayo ilikuwa ikipokezana ubingwa na Man Utd leo hii ikawa nyuma ya Man City na Chelsea.....Haiwezekani hata kidogo.....AW na bodi yake wanatakiwa wafanye maamuzi magumu,wazitumie pesa watakazozipata kwa kuwauza Fabregas na Nasri kuwanunua wachezaji wa maana....Nashangaa sana kusikia eti AW anabargain kumnunua beki mahiri kama Chris Samba kwa paundi mil 12,eti anataka kununua chini ya hapo....Huu ni upuuzi.....Pia juzi kasema hana mpango wa kuwanunua Jadson wala Mata,hii ina maana hana mpango wa kununua kiungo atakayeziba pengo la Nasri wala nafasi ya Fabregas?.....Hiki kitakuwa ni kichekesho,maana huyo Ramsey ambaye anategemea ndiyo ataziba pengo la Nasri/Fabregas sijaona lolote alilolifanya juzi zaidi ya kukimbiakimbia uwanjani na kupoteza mipira....Hata Frimpong bado sana kumtegemea......

AW anapaswa kusajili wachezaji wa maana(bila kuangalia bei zao),tumechoka kwa kweli kweli kuwa wasindikizaji kwa misimu zaidi ya mitano.....Tusiitumie timu ya wakubwa kuwaandaa/kuwatengeneza wachezaji,wachezaji waandaliwe kwenye academy na kwenye timu ya reserves lakini si kwenye timu ya wakubwa,hii ni bahati nasibu na ni utaratibu ambao tayari umeonesha kufeli(kwa miaka mitano iliyopita)......Nina uhakika Liverpool,Newcastle na Spurs wakiendelea kusajili na kukaa sawa na sisi tusiposajili msimu huu tutakuwa nyuma yao......Kwangu mimi kuwa nyuma ya timu hizi hakuna tofauti na kuwa nafasi ya 10 kama sio ya 15....

Arsenal haikupaswa kuwa nyuma ya Chelsea wala Man City,Arsenal size yake ilikuwa ni Man Utd basi.......Arsenal siyo timu ya kukosa hata kombe la Carling kwa kufungwa na vibonde walioshuka daraja Birmingham....

Nawakumbuka sana The Invincibles

Balantanda, concern yako ndio yangu pia, sijui tuadhirike vipi zaidi ya hapa ili AW na bodi yake waweze kuamka usingizini!!
 
At last.....


[h=1]Arsenal agree terms with Barca for Fabregas[/h]Arsenal announces today that they have reached an agreement in principle with Barcelona for Cesc Fabregas to move to Spain.

It signals the end of the midfielder's eight-year spell at Arsenal. Fabregas joined the Club from Barcelona as a 16-year-old in September 2003 and made 303 appearances, scoring 57 goals in all competitions.

He holds the records for the youngest Arsenal first team player (16 years and 177 days v Rotherham United (h), 28 October 2003) and the youngest Arsenal first team goalscorer (16 years and 212 days v Wolves (h), 2 December, 2003).

Named as Arsenal Captain in November 2008, Fabregas also became a regular in the Spain national team, making 58 appearances to date.

Arsenal manager Arsène Wenger said: "We have been clear that we didn't want Cesc to leave and that remains the case. However, we understand Cesc's desire to move to his home town club and have now accepted an offer from Barcelona. We thank Cesc for his contribution at Arsenal and wish him future success."

The transfer is subject to the completion of formal legal agreements and registration processes, together with Fabregas agreeing personal terms and passing a medical.

Souce: http://www.arsenal.com
 
15.08.2011 12:30


[h=4]Cesc Fabregas signs until 2016[/h] FCBarcelona.cat
Cesc has finally joined FC Barcelona, after signing a contract for the next five seasons. His buyout clause will be 200 millions of euros.
foto.JPG
 

....lol....hili saga linanichekesha sana.
Arsenal Vs Newcastle ...1st game of the season....mapungufu yaliyojionyesha ni pamoja na umaliziaji mbaya.
Van Persie hakuwa kwenye form yake ya kawaida,...Theo nae hakuwa kwenye form....
Nadhani ni sahihi tukisema tunahitaji playmaker ataye link vizuri zaidi na washambuliaji wetu...

Nikiangalia majirani zetu
Chelsea na mapesa yao ya kufa mtu sijui nao wanavijisababu gani vya kutoifunga Stoke!
Aisee?....nani asiyetishika na team ambayo ina
Torres, Drogba na Anelka kwenye safu yake ya ushambuliaje?
Juu ya yote hayo hawakuona nyavu! hhha hahha hhaa...ama kweli mpira hauna adabu!
 
I heard what the fans were singing about me on saturday and it is really disrespectful because i'm still a arsenal player


Congratulation to my mate @cesc4official i will miss you world class player and top men
 
jamani game letu na UDINESE .. kesho litakuwa saa ngapi masaa ya TZ
 
64% - Arsenal’s league wins with Fabregas in the starting XI last season, vs 31% without him. -Opta Stats
 
jamani game letu na UDINESE .. kesho litakuwa saa ngapi masaa ya TZ

Wacha kusikiliza hadithi za mzee wa udaku .... ...

Mechi inaanza 21:45 EAT au 19:45 British summer time.
 
mkuu nakwambia gooners watakuja kuwashangaza..

subirini tu

Napiga mluzi tu hapa, kama wao wanaona ni janga tunawakaribisha kuangalia matokeo .... ..... ... khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeee

BTW Song anaweza kufungiwa mechi yetu na Loserfools, Manure na Swansea .... ..... ..... ...... ....... kwa violent conduct yake kwenye mechi ya jana.
 
Wajameni Fabregas huyooooo BArcelona....and what will Wenger get for an exchange?
 
Ngawira £35 million na ushee.

Mkuu wacha si unajua kuwa profesa kwa muda mrefu amepewa support na wapenzi wa Arsenal na bodi hasa zaidi Dein...

Lakini hali ya msimu huu itakuwa ngumu sana kwa AW na nina wasiwasi kama nilivyosema katika post yangu huko nyuma, huenda ndio ikawa mwisho wa AW msimu huu.

AW amekuwa haambiliki lakini naona mwisho wake umefika.....kama unachwza kamari basi nakushauri bet on him to go
 
Gevino hakudive kama ile ni dive basi hakutokuwa na penalt kwani Suarez alidive na kabla ya kutuwa alikuwa tayari amenyanyua mikono kulalamika, Ref alitowa card haraka na kama sheria ya Penalt lazima uhakikishe kosa kabla ya kutoa uamuzi kwani ukishatowa card haiwezi kurudi, kosa la pili la ref ni kutowa card ya njano lile ni kosa na tayari alikwisha wasiliana na wasaidizi wake pamoja na radio,
nina wasiwasi wa kutukana kwa mchezaji wa Newcastle juu ya Gervino narudia ni kutukana mwisho kama Gervino atafungiwa basi mimi nasema ndio mwisho wa kuangalia mechi hizi kila mara huwa nitaangalia pale tu kwenye mechi kubwa
 
Back
Top Bottom