Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

01_GERV_1359561a.jpg


Hongereni kwa kupata bondia
 
As Fulham Vs S'land so as Arsenal Vs N'Castle.....Bado finishing ni tatizo... Gevinho is Good though kwenye finishing bado ni mbovu... Anahitaji muda kuzoea EPL na anahitaji kupunguza hasira......Ramsey looked good katikati... Song still Soilid... Verminator and Cos wameonyesha kiwango kizuri they can create a nice pair though we need back up yao nzuri......To AW need to buy two players a FINISHER and a CB....Thanx wadau kwa umoja wenu na ushirikiano katika jukwaa hili... Nakaribisha Kshfa na dhihaka kutoka kwa watani.....
<br />
<br />
Duh! Mkuu, Fulham vs S'land wameshacheza mara hii?????
 
WACHA1 JAMANI YUKO WAPI???? TEHTEH Hata mie hunifurahisha lazima aje Thread za watu kuja kuchokoza na mapicha lol! lake likimkuta anapotea kisingizio Tanesco lol! inaonesha ame freeze na Remote kwenye TV bado haamini @ Wacha1 . mwenyewe anafikiria kuna Overtime lol.
 
WACHA1 JAMANI YUKO WAPI???? TEHTEH Hata mie hunifurahisha lazima aje Thread za watu kuja kuchokoza na mapicha lol! lake likimkuta anapotea kisingizio Tanesco lol! inaonesha ame freeze na Remote kwenye TV bado haamini @ Wacha1 . mwenyewe anafikiria kuna Overtime lol.

Ngoja tumsaidie kuweka mapicha ili aje kuedit na kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee kheeeeeeeeeeeeeeeee yake
 
red card Gervinho!!!!! kwanza kadive halafu analeta ngumi!!

Gervinho haku-dive labda ulikuwa unaangalia Chelsick team. Kama ile ni dive basi sheria zibadilishwe. Khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeee

D'oh nini tena?

Kwani mlipotoa bahasha mlitegemea nini tufungwe? Khe khe kheeeeeeeeeeeeeeee

Hahahah arsenal mnakula kadi tu hapa... Gervinho naye diver?

Kaangalie Manu TV wanaonyesha hivi sasa khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

we cant judge any team in game... sie leo tulifulia kabisaa, at least arsenal wanajitahidi

Wacha fujo na wewe nenda kagange loserfools.

Mbona ile rafu ya Song hukusema hivyo?! Stop being hypocrite.

Refa hakuona , aliona kibendera lakini betri zake ziliisha ... .... au ulikuwa unamuwaza Bundi? Khe khe kheeeeeeeeeeeeee

Kwani nyie si ndio kawaida yenu kufulia, au?!


Lakini Bundi anakesha darajani, hivi mna makocha wangapi tangu mafioso alipokuja?


Wapi wacha1??? Mechi nzima hakuna khe khe kheeee!! Au yuko busy ameshikilia kitovu?!

Wacha ngebe wewe ulikuwa na miadi na mimi? Naona unaweka siri zako hapa za kushika kitovu, ulitaka nije nikushike? khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

dogo ana kelele kama nini aisee

Kuwa na heshima kwa wakubwa zako Ebo!

Huyo Coward hawezi kuwepo wakati wa live games!

Tumekuzoea wewe na wanazi wenzako kazi yenu ni kumfurahisha mafioso wenu atawamaliza! Khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

<br />
<br />
Jamaa yuko funny sana, tatizo muoga mno kwenye mechi za Arsenal anazama mitini...

Umejiunga lini kwenye lingo la hizi games au umesimuliwa, New Castle siyo mechi ambayo huwa tunaweza kuingia mitini for your info Home games karibu Emirates kama unaweza ku-afford kiingilio la sivyo bakia kwenye online, away games utaniona kama siko busy au panga appointment kama unaweza ku-deal na mimi au vipi? Do you even know the meaning of funny? You better be right 'cause you will jump like a cameleon. Khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Sie si unajua uwa tunaanza taratibu...draw draw nyiiingi ila tukifika November/December/January tunafire all cylinders.

Wolves wanawachibiri khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Rev Fr Masanilo aka padri Bandia 2357344 said:
Gervinho Hana akili EPL hatoiweza! Thanks Joey Barton

Padri bandia vipi? Wacha ngebe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee Nasikia Loserfools na Manure wanakenua maana wanajua ngoma yake ingekuwa sokomoko.
 
Padri bandia vipi? Wacha ngebe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee Nasikia Loserfools na Manure wanakenua maana wanajua ngoma yake ingekuwa sokomoko.
Gervihno kwanza anahusikana looting huko Eastern London
 
Arsenal manager Arsene Wenger: "I think Gervinho didn't deserve the red card personally. I dont know why Joey Barton has grabbed him at the throat to get him up. I think thats a yellow card. I feel the referee has not seen it and the assistant has not seen it properly. I am 100% sure the referee has not seen the incident so I would like to know who made the decision. Will I appeal? I will have a good look at it but I am tempted to say yes." BBC....
 
Sijui Balatanda yupo mitaa ipi?

Kwa uhakika kabisa hii Arsenal ya mwaka huu ikijitahidi sana itaishia nafasi ya kumi! Mbu/Balatanda/ and Arsene poleni sana - lakini ukweli ndiyo hu...

Leo mnachapwa 2 - 1!

Bala is always here........

Angalia signature yangu mkuu....
 
Back
Top Bottom