Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,484
- 4,821
Arsenal timu yetu bado sana.......Kwa aina ya mchezo tuliocheza leo na timu iliyopangwa leo hatustahili hata kuwa kwenye top 5(ukweli ndio huu japo unauma)....
Wenger anapaswa kusajili haraka sana kabla mambo hayajaharibika zaidi,anapaswa kusajili mabeki wawili(wakati mmoja na wa pembeni kushoto mmoja).....Pia anapaswa kusajili kiungo wa kuziba nafasi ya Nasri....Huyu Ramsey leo amecheza urojo tu,alilegea kama Diaby vile,hakuwa kwenye form kabisa......Pia tunahitaji mshambuliaji wa maana ambaye atasaidiana na RVP pale mbele......Yasipofanyika haya nachelea kusema tutashika nafasi ya 10 kama siyo ya 15 msimu huu......Tumshukuru Mungu hatujafungwa leo...
Naukumbuka wimbo wa Nachechemea utunzi wake Hussein Jumbe akiwa na DDC Mlimani Park Orch. wana Sikinde Ngoma ya ukae a.k.a Nginde...
Wenger anapaswa kusajili haraka sana kabla mambo hayajaharibika zaidi,anapaswa kusajili mabeki wawili(wakati mmoja na wa pembeni kushoto mmoja).....Pia anapaswa kusajili kiungo wa kuziba nafasi ya Nasri....Huyu Ramsey leo amecheza urojo tu,alilegea kama Diaby vile,hakuwa kwenye form kabisa......Pia tunahitaji mshambuliaji wa maana ambaye atasaidiana na RVP pale mbele......Yasipofanyika haya nachelea kusema tutashika nafasi ya 10 kama siyo ya 15 msimu huu......Tumshukuru Mungu hatujafungwa leo...
Naukumbuka wimbo wa Nachechemea utunzi wake Hussein Jumbe akiwa na DDC Mlimani Park Orch. wana Sikinde Ngoma ya ukae a.k.a Nginde...