project ya kupambania Epl tu nayo imefeli🤣Tutulie guys. Tuwapuuze Hawa washambenga wenye chuki nasi. Sisi tuna 5-year plan. Miaka 2 ya mwanzo imekuwa disappointing tukawa nyuma ya schedule. Sasa tumeongeza Kasi tukafidia miaka iliyopita na kuonekana tuko mbele. Binafsi naona hii imefidia na kuturudiaha tu kwenye reli ila Bado safari ni ndefu sana tena sana. Ingetokea tukabeba ubingwa ingekuwa poa sana pia japo siwezi kusema kama ingemaanisha tumekuwa Bora sana msimu mzima. Kuna kipindi tulikuwa wamoto na Kuna vipindi tulikuwa wabaridi. Mwishowe Hali ndiyo kama tunavyoiona. Cha muhimu tuendelee kuenjoy good moments sana, na tuhuzunike Kwa bad moments kidogo.
Kwanza kabisa nikupe pole ndugu yangu kwa unayopitia, nmeona ulivyoandika hii komenti February 16, baada ya wiki moja wale mazombi vichwapanzi wakaanza kukujia juu na kukukejeli kwa kila namna, mara waseme una roho ya kike mara mamluki.Never ever haitakaa itokeee members humu tunadanganyana Arsenal ni team ya kisenge no vision at all last season tukalia and now today tunalia
Make kwanza nchekeMihemko kitu kibaya sn, mwanaume ukiwa na mihemko huna tofauti na m'ke, fanyia kazi hili ndugu.

A real definition of Mwehu.Jamaa ni negative tu
Mimi kwa mpira tunaopiga kufungwa ni bahati mbaya
Mechi na city kwa mpira tuliopiga nilisema hata Kama tunafungwa lakini nimeridhika na kiwango Cha timu
Pep alishinda ila yeye mwenyewe anajua na alikiri Arsenal ni timu ya aina gan
Ukisema Pep Guardiola haraka kichwan kinakujia kitu Possession
Lakini Pep ni wakuja Emirates na kuzidiwa possession kwa 64-70%/?
Walioichambua ile mechi wanasema ilikuwa mechi ya kuamuliwa kwa makosa tu
Wanaojua timu yao sasaArsenal haitakaa itokee iwe title contender never ever never ever
Unajua logic ya ushabiki wowote dunian?Wanaojua timu yao sasa
Nikisema huyu jamaa akamatwe. Mnaona mm nazingua.A real definition of Mwehu.
Yani wewe uko tayari hata timu ipigwe 6 ila muongoze possession na mcheze mpira mzuri?
Kweli hii timu ina DNA za u trophyless kuanzia wachezaji,wamiliki mpaka mashabiki.
Yy hamuoni Kadri miaka inavokwenda hata pep mwnyw hayuko obsessed tena na team yake iwe na possession anabadilika kutokana na nyakat kwa sbb mpr sik izi ni science kali sana ya tactics ukibak sehem moja watu wakupiga kama ngoma maana wanakua wamekujulia mchezo wako.A real definition of Mwehu.
Yani wewe uko tayari hata timu ipigwe 6 ila muongoze possession na mcheze mpira mzuri?
Kweli hii timu ina DNA za u trophyless kuanzia wachezaji,wamiliki mpaka mashabiki.

Sikia hili dubwasha jingine.Porojo hizi
Mna kariri sana,Arsenal awepo Partey City anafungwa Itihad
Arsenal ni team bora kabisa msimu huu tena by far sio hata close
Mechi ile Partey ndani ku neutralize attacks za City kisha kumsogezea Saka aondoke nao hawa City wangelala tu
Partey is Arsenal and Arsenal is Partey
Ona ushuzi huu, embu rudia?Wanasahau mancity msimu huu hawezi kushinda mechi 3 mfululizo
Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
wewe ni wa kuweka rumande shwain.City msimu huu Hana ubavu wakwenda mechi 3 mfululizo anashinda
Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app


Haijafeli. Tumepambania title ila tumeshindwa. Ilikuwa tunapambana kuingia top 4. Ikawa ngumu tukaanza kupambana kuingia top 6. Hiyo nayo ikawa ngumu tukaanza kupambania top 10. Daah. Sasa season kama hii ni bonge la improvement. Nitawapongeza Kwa hilo ingawa demands zangu ni zaidi ya hapo.project ya kupambania Epl tu nayo imefeli🤣
Hako kajamaa kanawaletea chaos humu jukwaani kwenu, eti kachambuzi.Nyie wakimbizi mwacheni Hamis. Sasa mnamuandama ila subirini tuanze kuchapa wapinzani consecutively huku nyie mkipigwa muone atavyo revenge
Yan katk kitu tuko nacho sure sisi wakimbizi ni Arsenal haiwez beba kombe lolote kubwa hapa karbnNyie wakimbizi mwacheni Hamis. Sasa mnamuandama ila subirini tuanze kuchapa wapinzani consecutively huku nyie mkipigwa muone atavyo revenge
.
Arsenal anzeni kwa kumtimua Arteta na kuleta kocha. Yule Edu naye pamoja na wamiliki wa timu wanazingua tu.Haijafeli. Tumepambania title ila tumeshindwa. Ilikuwa tunapambana kuingia top 4. Ikawa ngumu tukaanza kupambana kuingia top 6. Hiyo nayo ikawa ngumu tukaanza kupambania top 10. Daah. Sasa season kama hii ni bonge la improvement. Nitawapongeza Kwa hilo ingawa demands zangu ni zaidi ya hapo.