Labyrinth 84
JF-Expert Member
- Feb 13, 2017
- 1,093
- 3,151
Shabiki wa kweli hahami timu. Wewe ni glory hunter tu.
For 20 years i have been an arsenal fan .. nan asiyetaka kuona timu yake inakuwa champion ni kiu ya kila shabiki na mchezaji thats why van persie, clichy, sagna na fabregas waliondoka arsenal na bado kuna wachezaji pia wataondola arsenal maana wanapoteza muda arsenal.. glory hunters
so unataka for the rest of my life niwe disappointed man, football ni furaha na burudani la moyo lakini sio simanziiTrust me mpaka 2028 Newcastle atakuwa kashaonja ladha ya furaha ya ubingwa wa epl lakini arsenal atakuwa bado hana chochote zaidi ya false hope to the fans.
Huwezi sema ni glory hunter nimeanza kushabikia arsenal nikiwa na miaka 8 tu standard one na game ya kwanza tulipoteza nakumbuka its was community shield kama sikoseiii against man utd but still nikaendelea kuwa shabiki wa arsenal. I have that hope for 20 years now nimegundua ilikuwa ni false hope miaka 20 inatosha !!! Arsenal are specialist in failure!!!!



wakati ndo kwanza mwaka wa kwanza..... mpaka akawa kero ukawa ushabiki maandazi mshinde mfungwee yeye yumo na nyinyi tuu sasa wacha tumalize hasira zetu na sisi kwake mtuvumilie tuu
arsenal ni false hope haina project ni kudanganyana.