hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,322
- 26,765
Tatizo ni Moja Arteta hapend na sioni akirudi 4-2-3-1 huo ulikuwa mfumo kwenye Safari ya kuelekea 4-3-3Kuna kipindi alikua anamtumia KT kwa kumpa uhuru wa kushambulia LW uku Xhaka akirudi ku cover Eneo la KT kama LB na hapo Smith Rowe ambaye alikua kama LW akiingia ndani kama No 10s. Kwenye Mfumo wa 4231 tunaweza kuupata ubora wa KT kama ambavyo tulikua tunaupata last season. Nawaza hakuna game Arteta anaweza tumia mfumo uo tena endapo game ikiwa ngumu kwenye upande wa mfumo wa 433 ambayo unamfanya zinny acheze hivi anavyocheza sasa??
Ndio maana KT amekuwa Kama katengwa,amekuwa akiingia anabidi akopi Kama Zinny hata Jana alifanya hivo
Tayari anajiandaa kutafuta sehemu nyingine , Newcastle wapo serious wanamtaka
LB Kuna Zinny na Tomiyasu ambao wamekuwa chaguo la kwanza kuliko yeye
Arsenal wanataka €45-50m wamuachie