Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kuna kipindi alikua anamtumia KT kwa kumpa uhuru wa kushambulia LW uku Xhaka akirudi ku cover Eneo la KT kama LB na hapo Smith Rowe ambaye alikua kama LW akiingia ndani kama No 10s. Kwenye Mfumo wa 4231 tunaweza kuupata ubora wa KT kama ambavyo tulikua tunaupata last season. Nawaza hakuna game Arteta anaweza tumia mfumo uo tena endapo game ikiwa ngumu kwenye upande wa mfumo wa 433 ambayo unamfanya zinny acheze hivi anavyocheza sasa??
Tatizo ni Moja Arteta hapend na sioni akirudi 4-2-3-1 huo ulikuwa mfumo kwenye Safari ya kuelekea 4-3-3

Ndio maana KT amekuwa Kama katengwa,amekuwa akiingia anabidi akopi Kama Zinny hata Jana alifanya hivo

Tayari anajiandaa kutafuta sehemu nyingine , Newcastle wapo serious wanamtaka

LB Kuna Zinny na Tomiyasu ambao wamekuwa chaguo la kwanza kuliko yeye

Arsenal wanataka €45-50m wamuachie
 
Watulie kwanza huo ni upepo tu

Najiuliza wangekuwa wanapiga soka hili Kama la Arsenal tungeishije

Huwa nawakumbusha timu yao bado inatembea na individual brilliance za rashford na juhudi za Degea

Ndio maana walipokuja Emirates tuliwaweka uchi lakini bado hawasikii kuwa waache kelele
Kwenye UShabiki haupaswi kutulia mkuu. Ukipata nafasi ya kufurahi na kujidai, itumie tu maana hujui vipigo vitakuja lini. Waone Liverpool na Chelsea walivyo hivi Sasa. Liverpool wameanza kupiga na wao so mashabiki Lazima waitumie hii fursa
 
Ila mpira bwana

Madrid kampiga Liva 5.

United kampiga Barca 2.

Barca kaenda mpiga Madrid 1 tu akawa anasubiri counter na kupiga low block.

Mechi ilikua inaonyesha kama vile Madrid anashinda sasa hivi ila ile low block ilikua nene
 
Unaangalia mpira kweli bro??
Timu inacheza low block unataka ufanye kipi kingine zaid ya individual kama alichofanya Zinny kwenye bao la Saka?
na ndio maana nilisema arteta must find a good solution.. na harka sna kipindi cha pili akamtoa jorginho na kumuingiza partey.

kipindi cha kwanza hatukucheza vizuri ilo liko wazi na hta kocha w everton kalisema ilo.. tulionesha ubora we2 kipindi cha pili.
 
Pep kwenye hizi mechi mbili lazima adondoshe point tupo hapa, Newcastle wakimkosa, mechi inayofuata Crystal palace hawawezi kumuacha, Viera legend kabisa.
Hizo anashinda zote pep nakwambia saiv city wanampango kazi na msako wao sio wa kitoto kama ni mkamaria tembea na pep guardiola kipindi hiki anaweza shinda straight 10 games tena ushindi mkubwa tupambane wanaarsenal tushinde mechi zetu tusiwe kwenye pressure mapema najarb kuwaza tumezulmiwa karbia point 7 na marefa hii ligi tungeimaliza mapema sana
 
Hizo anashinda zote pep nakwambia saiv city wanampango kazi na msako wao sio wa kitoto kama ni mkamaria tembea na pep guardiola kipindi hiki anaweza shinda straight 10 games tena ushindi mkubwa tupambane wanaarsenal tushinde mechi zetu tusiwe kwenye pressure mapema najarb kuwaza tumezulmiwa karbia point 7 na marefa hii ligi tungeimaliza mapema sana
Kwan Arsenal hatuna uwezo wa kushinda game 10 mfululizo?
Man city ya pep haina ubora uo kwa msimu huu bro
 
Hizo anashinda zote pep nakwambia saiv city wanampango kazi na msako wao sio wa kitoto kama ni mkamaria tembea na pep guardiola kipindi hiki anaweza shinda straight 10 games tena ushindi mkubwa tupambane wanaarsenal tushinde mechi zetu tusiwe kwenye pressure mapema najarb kuwaza tumezulmiwa karbia point 7 na marefa hii ligi tungeimaliza mapema sana

Porojo hizi
Mna kariri sana,Arsenal awepo Partey City anafungwa Itihad
Arsenal ni team bora kabisa msimu huu tena by far sio hata close
Mechi ile Partey ndani ku neutralize attacks za City kisha kumsogezea Saka aondoke nao hawa City wangelala tu
Partey is Arsenal and Arsenal is Partey
 
Back
Top Bottom