Will Jr
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 5,077
- 7,420
Mihemko kitu kibaya sn, mwanaume ukiwa na mihemko huna tofauti na m'ke, fanyia kazi hili ndugu.Arsenal haitakaa itokee iwe title contender never ever never ever
Mihemko kitu kibaya sn, mwanaume ukiwa na mihemko huna tofauti na m'ke, fanyia kazi hili ndugu.Arsenal haitakaa itokee iwe title contender never ever never ever
Never ever haitakaa itokeee members humu tunadanganyana Arsenal ni team ya kisenge no vision at all last season tukalia and now today tunalia


Guardiola huwa akikaa pale juu hatoki. Biashara imeisha hii Asenyani asanteni kwa kushiriki.


Njoo uongeze list...hizo tushamalizaNa bado
Aston villa AWAY
Leicester city AWAY
Tutaelewana tu

Hivi huyu jamaa anajiskiaje sasa hivi!Mihemko kitu kibaya sn, mwanaume ukiwa na mihemko huna tofauti na m'ke, fanyia kazi hili ndugu.
Huyu jamaa ananisikitishaga SanaMihemko kitu kibaya sn, mwanaume ukiwa na mihemko huna tofauti na m'ke, fanyia kazi hili ndugu.
Badala upambane na livakuku ipate angalau kucheza europa conference leagueNa bado
Aston villa AWAY
Leicester city AWAY
Tutaelewana tu
Sajili za January za Arsenal na za unyumbuni ,zipi zina impact had Sasa?Sema me naona January kwenye usajili mambo ndo yalipokuwa magumu
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Atakuwa mamluki tu.Hivi huyu jamaa anajiskiaje sasa hivi!
Halafu sijawahi kumuelewa yuko upande gani, jina ni la Arsenal lakini fact ni za kinyumbu.
Kupata vituko zaidi, bonyeza 1😂😂😂Na bado
Aston villa AWAY
Leicester city AWAY
Tutaelewana tu
Pep alichotuzid ni longetivity tu ya kikosi chake kuliko sisiGuardiola huwa akikaa pale juu hatoki. Biashara imeisha hii Asenyani asanteni kwa kushiriki.
Jamaa ni negative tuAtakuwa mamluki tu.






Kwa aliecheki muvi za James Bond anaelewa zaidi iyo maana ya 007 (double O seven in British accent)Chelkenge wanamwita 007, zero goal zero assist in 7 games.
Hii kauli aliyosema ni kweli kabisaSean Dyche on ARSENALYou saw why they’re top of the league in the second half.
Sean dycheThe moment ARSENAL brought in Thomas Partey i already knew it's training session.
#AFC![]()



Zinny huyu kiumbe daah, anaziona pasi ambazo ni hatari kwa timu pinzani na timu yetu pia, i mean hata akipoteza mpira wakishika adui shambulizi tutakalopigiwa kama sio goli ni kosa kosa ya maana, kwaiyo zinny ni kiumbe kingine kabsaNitajie mchezaji bora wa EPL kwa sasa ambaye Sio BUKAYO SAKA..Nakusikiliza Kenge wewe
Actually nilikuwa narudia kutazama hili bao lake tena tena.Ni vitamin tupu
Kwanza namna alivyokuwa anaitaka kwa nguvu Ile pasi kutoka kwa Zinchenko baada ya Kujua Kila kitu kinachoendelea pale a alipojipozisheni.
Halafu amefanya Vitu viwili just kwenye one Movement .Turn ilikuwa kupokea mpira Lakini pia kuuweka mbali na Mykolenko.
Lakini pia kukaa katikati ya Mpira na Mykolenko.Then ni Imani Juu ya ule Mguu wake wa kulia kuchagua power and Precision kuuweka pale pale Juu ya Pickford
Goli 10 na assist 9.Goli 6 ni goli la Kwanza la Arsenal.Halafu goli 4 ni bao la kusawazisha la Arsenal
View attachment 2535102



Hii kauli aliyosema ni kweli kabisaSean Dyche on ARSENALYou saw why they’re top of the league in the second half.
Sean dycheThe moment ARSENAL brought in Thomas Partey i already knew it's training session.
#AFC![]()



Sasa kama utuwazi mbona iwezi pita siku ujatutaja hapa?Siwez kuwawaza nyie ,mbona hujiulizi why nyie mnajazana humu wakati Spurs na Newcastle wapo karibu kuwatoa top 4
Yaani nyie ndio mna Mandate ya kutusumbua sisi humu, mkiguswa nyie mnawaka
Nawataja maana mnajazana humu, mkishinda mnaleta matokeo humuSasa kama utuwazi mbona iwezi pita siku ujatutaja hapa?
Ofcourse walitohoa maana ya filamu hiyo, ila wameweka hiyo kama kebehi tu na vijana wa sasa wanaweza fuatilia 007 ya James Bond kama replica.Kwa aliecheki muvi za James Bond anaelewa zaidi iyo maana ya 007 (double O seven in British accent)