HENRY14
JF-Expert Member
- May 13, 2021
- 3,593
- 6,932
Hapa tunaendelea kuongoza ligi na kutwaa ubingwa wa Uzi mkali season after season
Hapa tunaendelea kuongoza ligi na kutwaa ubingwa wa Uzi mkali season after season
Hapana saliba,ziny, Tomi, Rowe , nelson martineli bado tunawahitaji wanaweza kabisaArsenal anzeni kwa kumtimua Arteta na kuleta kocha. Yule Edu naye pamoja na wamiliki wa timu wanazingua tu.
Arsenal ni wachezaji 4 tu wanastahili kuwa starters kama mnataka kushindania makombe: Odegaard, Partey, Saka & Trossard wengine wote siyo wachezaji wa kutegemea ukianza na Jesus, wale mabeki wenu wote ni wachezaji wa kuanzia bench pamoja na kipa wao.
Niliwahi kusema kinachowagharimu Arsenal ni wachezaji wa mafungu. Mchezaji kama Caicedo mngempata angeimarisha sana eneo la kiungo. Mlipata nafasi ya kumsajili Martinez mkashindwa na United kufika dau.
Kwenye project yenu mnatakiwa mjue kuwa hiki kikosi mlichonacho sasa ni wachezaji 4 tu wanastahili kuanza ila kama Arteta anahisi hapa ndiyo anamalizia basi bado sana.
Acheni ubairi ingieni sokon wakuu nunueni pia na wanaume wa kazi.. Kikosi cha watoto tupu wacheza Ps hakiwez shindana na wanaume wakiwa wanatk kombe.Hapana saliba,ziny, Tomi, Rowe , nelson martineli bado tunawahitaji wanaweza kabisa
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Sijasema wauzwe ila wanafaa kama squad players na siyo starters. Mchezaji kama Tomiyasu ni liability tu kwa timu, timu inapomhitaji yupo nje kwasababu ya injury.Hapana saliba,ziny, Tomi, Rowe , nelson martineli bado tunawahitaji wanaweza kabisa
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Alikuwa anatupondea Kipara wetuhamis77 alikuwa anamsifia sana De Zerbi kwenye uzi wa United na ndiyo amewaziba midomo Arsenyani.
Aisee unyama ni mwingi sanaHapa tunaendelea kuongoza ligi na kutwaa ubingwa wa Uzi mkali season after season
Safi! Umetengua kauli. 😂COYG
city NDOO
Haaland KIATU
Ila mnajua ni nini? Msimu ujao mtatukoma tuna HASIRA Sana![]()
Kumbe unaelewa ni project.. ambayo inachukua muda shida sasa Hamis alisahau hilo kaja kushabikia msimu huu ambao ni matokeo ya project za miaka ya nyuma..... kutwa kushinda kwenye uzi wa Manchester kuponda usajili wa Anthony🙄 wakati ndo kwanza mwaka wa kwanza..... mpaka akawa kero ukawa ushabiki maandazi mshinde mfungwee yeye yumo na nyinyi tuu sasa wacha tumalize hasira zetu na sisi kwake mtuvumilie tuu😂😂😂😂Haijafeli. Tumepambania title ila tumeshindwa. Ilikuwa tunapambana kuingia top 4. Ikawa ngumu tukaanza kupambana kuingia top 6. Hiyo nayo ikawa ngumu tukaanza kupambania top 10. Daah. Sasa season kama hii ni bonge la improvement. Nitawapongeza Kwa hilo ingawa demands zangu ni zaidi ya hapo.
uungwana ni vitendo😀COYG
city NDOO
Haaland KIATU
Ila mnajua ni nini? Msimu ujao mtatukoma tuna HASIRA Sana![]()
ulichosema ni kwel asiimia mia..Unajua logic ya ushabiki wowote dunian?
Mashabiki duniani kote hawapendi kitu kwa logic au fact.ushabiki umejikita katika hisia tu.logic kwa shabiki ni kitu cha baadae saana.
Hebu jiulize aston villa iliwahi chukua UEFA,Leo ni miaka mingapi imepita?mashabiki wameiacha?
Liverpool imewagharimu miaka mingapi kuja kuiona EPL?mashabiki waliiacha?
Ukiwa shabiki hisia zinatangulia kwanza kisha fact na logic vifuata baadae
Mmeachana na mambo ya ubingwa na sasa mmegeukia kujadili jezi 😂😂 sasa kwa jinsi mlivyo fungu la kukosa usishangae designer wa jezi akafa kabla hajamaliza kazi
Sema mkuu huu msemo wa Arsenal NDOO ulikuwa una unyama sana umetutesa wapinzani tukiwavizia week in week out mteleze. Nimeukubali sanaCOYG
city NDOO
Haaland KIATU
Ila mnajua ni nini? Msimu ujao mtatukoma tuna HASIRA Sana![]()
Hilo ndio tatizo lake, muoga sana, yeye anataka utani wakati ni shabiki wa Arsenal, msimu mmoja unajitahidi misimu 10 maumivu.Nyie wakimbizi mwacheni Hamis. Sasa mnamuandama ila subirini tuanze kuchapa wapinzani consecutively huku nyie mkipigwa muone atavyo revenge
Saivi naona ss unaongea ww mwnyw kwa akil zako timamu bila mihemko yoyote.COYG
city NDOO
Haaland KIATU
Ila mnajua ni nini? Msimu ujao mtatukoma tuna HASIRA Sana![]()


Kwan brighton wana tofauti gani na Azam ya bongo?Tumefungwa na timu ambayo misimu miwili mbele inaweza kushuka daraja. Classic symptoms anafungwa na Nottingham anamfunga nyumbu anafungwa na Everton anamfunga Arsenal.
Tusiposajili msimu huu tutaishia na stori za "Better luck next time"
Suruhisho ni usajili kwenye Muhimu kwenye kila nafasi Muhimu zaid, na idadi iwe na wachezaji wanne+ kinyume na hapo ni kilio tena msimu ujao.Tumefungwa na timu ambayo misimu miwili mbele inaweza kushuka daraja. Classic symptoms anafungwa na Nottingham anamfunga nyumbu anafungwa na Everton anamfunga Arsenal.
Tusiposajili msimu huu tutaishia na stori za "Better luck next time"