Forgotten
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,630
- 11,096
Wote City na United wamepata points 3.Etihad mlipigwa ngapi 😂😂😂 kama sio 6
Wote City na United wamepata points 3.Etihad mlipigwa ngapi 😂😂😂 kama sio 6
Kumbe ndo ili ascoreMbona Haaland kaachia nywele tumemkosea nini?
Huu ujinga ndio umewafikisha hapo. Umetolewa kwenye makombe yote na ubingwa umepotea baada ya kuongoza msimu mzima. Mtakuwa mmelogwa nyieNdugu zangu wana Arsenali timu yetu ni nzuri na ina mwelekeo mzuri. Matokeo yeyote na hapa tulipo ni hatua kubwa. Tuzidi kukuamini Arteta na Bodi imsapoti. Tutafika mbali
Nawakumbusha! Hii ndiyo fixture yenu. Wanafuata Wabluu.Wagonga Nyundo.
Watakatifu.
Wananchi.
Wabluu.
Ndege Kinubi.
Ndege Shakwe.
Msitu wa Nottingham.
Mbwa Mwitu.
Hizo ndiyo mechi 8 za Arsenyani zinazofuata.