Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Unakubali kwanza kama msimu huu hauna kombe unalopata? Kisha tuendelee na mjadala
Ila unakubali we ni kubwa jinga umepigwa 7 😂😂😂?

Mbona vikombe hivyo tunavyo na wala hausemi baadhi ya misimu ..Tukisema huku utahamia huku
 
Uzuri walipiga selfie na kombe
FB_IMG_1682541522981.jpg
 
Ngoja tumalize hii mechi kwanza! Sema ukiukosa huu ubingwa msimu huu yaani ni big mistakes utakua umefanya.
Hatuna shida ya ubingwa kwanza ni mda sana ...Nilikuwa napinga ule utabiri kwamba manyumbu mwaka huu atachukua kama Man city fresh ila sio Man itd bora Man city au Chelsea wakichukua fresh
 
Huu mchezo hauhitaji hasira, huu mchezo hauhitaji hasira, huu mchezo hauhitaji hasira



Wapisheni wanaume wabebe na asante kwa kumtunzia mwanaume nafasi tangu mwanzo mwa msimu.
Bado vijana nyie poleni sana asee (in cityzen's voice)
 
Hawa City walipigwa OT, Haaland akicheza dk 90 bila shot on target.

United ana medali 2 msimu huu. Nafasi ya kwenda Champions League.

Arsenyani mafanikio yao makubwa ni kushika nafasi ya Man City.

Kuna Arsenyani huwa wanakuja kulisema soka la Erik ten Hag lakini ndiyo linampa mafanikio hivyo huku bado anasuka kikosi ambacho Arsenal hawatafikia quality yake.
 
Back
Top Bottom