Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arteta ni kocha la dunia, Arsenyani wanakwambia kina Guardiola na Don Carlo wote hua wanachukuaga madesa toka kwa Teta boy
98E57E28-311E-4D49-A8A0-902A0C65AEB0.jpeg
 
Naona NZI wengi wanarukaruka hapa lakini hii komenti itaendelea kusimama. Ubingwa wa EPL ni kwa Arsenal msimu huu.

Mabadiliko kidogo ni kwamba sasa hivi lazima tushinde Etihad, Newcastle, Chelsea na Brighton pamoja na zile za Nottingham na Wolves.

Arsenal.🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Kwa huu ugolo ulioandika najiuliza sijui kwanini Bado una uhai
 
Back
Top Bottom