Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Unaambiwa Pep amevuta bangi leo kabla ya mechi upara unawaka moto🔥
images (13).jpeg
 
My ID ni hii hii,ukitaka kuamini Arsenal ni team ya laana angalia kila anachokitaka hakipati,last 2 seasons tuliikosa hata Conference mwishoni, last season tukaikosa Champions league mwishoni,this season tumekosa Ubingwa so why tusiseme Arsenal imelaaniwa na aliyeilaani amedead long time ago

Games like this normally exposé one’s weaknesses, so we expect the board to work on them
 
Risala ya marehemu


Ilianza kama zari

FB_IMG_1682539273862.jpg

Huku na huku


FB_IMG_1682539269259.jpg

Mara chuma kimepanda

FB_IMG_1682539266095.jpg


Akajisogezea na redio huku akila miwa
FB_IMG_1682539260412.jpg


Taratibu mambo yakaanza kubadilika
FB_IMG_1682539257652.jpg


Imekuwaje tena?
FB_IMG_1682539255355.jpg


Kumbe ni tawi bovu
FB_IMG_1682539252930.jpg

Halafu mti wenyewe ulikuwa mmlja tena jangwani

FB_IMG_1682539249653.jpg


Amezima
FB_IMG_1682539244336.jpg


Stimu za miwa zimefanya aangukie pua na kusababisha kifo kimkute
FB_IMG_1682539241571.jpg
 
Ndugu zangu wana Arsenali timu yetu ni nzuri na ina mwelekeo mzuri. Matokeo yeyote na hapa tulipo ni hatua kubwa. Tuzidi kukuamini Arteta na Bodi imsapoti. Tutafika mbali
 
Back
Top Bottom