Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mseng Ramsdale mpiga nyeto na yule mtumia madawa msimu ujao wasiwepo hata benchi
Next game turner akae golini, Arteta aache usenge kmmmk
nawashangaa nyie asenyani tangu lini mjieke presha ya kombe nyie n middle team na mnaridhikaga na ii ndo asenyani tunaoijua ile ya miez ilopita ni maigizo2 walikua wakifanya ateta na kikundi chake cha wahuni vijana
 
Arteta anawachekea sana kenge hawa

Sasa yule mtumia madawa Vieira alikua anafanya nini uwanjani?
sasa timu yenye haina hela ya kununu wachezaji ma stars.
Mkaona bora msajili hata huyo star wa Prison Break kwa bei chee kuliko kutosajili star yoyote.
Screenshot_20230422_123143.jpg
 
Arteta n muhuni tuu amewatapel Arsenal sasa hana skills yoyote ya ukocha kilichowafanya Arsenal kuwa hapo walipo sasa n Hari ya wachezaji na MUNGU tuu lakin msimu unao mtawaona mashabiki wakiingia na mabango wakimtaka mtu awaachie timu yao
 
Tukiwaambia hawaamini
Watacheza hadi watenguke viuno ila probability ya kushinda Etihad ni sifuri.
Tatizo ukiwaambia ukweli watakwambia hujui mpira, wao wanataka uwasifie tu.
Kujazana false hopes ndipo kunasababisha timu hata ikidroo tu wanakimbia jukwaa sababu wanaaminishana arsenal ni untouchable.
 
Mfano mzuri ni mechi ya mwisho msimu uliopita, City anapigwa 2 mashabiki wa Liverpool wakaanza kushangilia. Ilivyopigwa comeback wakina Salah wanauliza mashabiki vipi matokeo ya City uwanja mzima mashabiki hawaamini kilichotokea.

Hawa Arsenal pale Etihad wanaenda kufungwa tu, Man City wamecheza game nyingi ngumu na za ushindani msimu huu na wanapata matokeo.
Watakwambia hujui mpira, wao wanachotaka uwaambie wana timu ya kubeba ubingwa na wanaweza kushinda popote pale, acha waendelee kujazana upepo.

Niko zangu nawasubiri chuo cha etihad waje niwafundishe course fupi ya "HOW TO BE AN EPL CHAMPION"
 
Ila binadamu tunasahau sana

Hawa ni nyumbu walikua wanaongoza kwa tofauti ya points 8, michezo ilibaki 6View attachment 2596097
Hapo misimu 5 nyuma United alibeba ubingwa mara 4, Three-peat ikiwemo. Msimu uliofuata pia baada ya huo akabeba tena EPL.

Usifananishe United ya SAF na hii Arsenal ya Arteta.
 
Unaona kejeli zako zinajaza wapinzani humu Jukwani?nilikuwa nakuonya usiweke ushabiki chambua football ️ na facts ona sasa leo Jukwaa linajazwa na wapinzani bila sababu ya msingi hamis77 ,wakati naonya ilikuwa naonekana mpinzani ,sometimes niliitwa ARV milangomitatu na wanaojiita die hard fans haya sasa pamenuka umekimbia ,tulichoambulia ni kuwa champions league but hayo ni mafanikio kwa big team kama Arsenal ambayo season nzima ilikuwa 1st position kwenye league?Acha tuendelee kupokea matusi
 
Hapo misimu 5 nyuma United alibeba ubingwa mara 4, Three-peat ikiwemo. Msimu uliofuata pia baada ya huo akabeba tena EPL.

Usifananishe United ya SAF na hii Arsenal ya Arteta.
Misimu mitano nyuma ndio upuuzi gani

Tuzungumzie msimu mliobottle league title
 
Wakati tupo kwenye tittle race na liverpool, liverpool ambayo ilikua haidondoshi point hovyo kama nyie, liverpool ambayo ilikuwa na wachezaji ambao wapo matured enough na wanaweza kucheza na kupata matokeo under pressure, akija pale etihad hajawahi kupata pointi 3.

Leo arsenal yenye wachezaji ambao hawawezi kuhimili pressure na wengi hawajiamini ndio mnataka mje kumpiga city ETIHAD?!!
Mpira unadunda ila kwa stages kama hizi, City huwa ni winning machine na wote ni mashahidi, liverpool walikua tishio kuliko nyie lakini waulizeni walivyobaki ulimi nje, point 1 tu iliwashinda kurecover.

Lakini sio mbaya mkipeana matumaini.
Nawasubiri Etihad mniletee kombe langu in pep's voice.
Hawa wacha wajipe matumaini maana ni team yao wanabid wapeane moyo.. Lkn deep down wanajua kbs what is going to happen siku iyo.

Msako tutakao watafuta watapanic wnyw na tutawafunga magoal kutokana na makosa yao nasema mistakes zao na kupanic siku iyo ndo zinatupa ushindi tena.
 
Back
Top Bottom