Tumeongea sana wengine tukaonekana wapumbavu Arsenal alistahili kubeba Europa league tukaambiwa na die hard fans kuwa HATUITAKII MEMA haya sasa kiko wapi?sisi wenye akili tuliona bora Europa league hata tukikosa ubingwa tuna kombe la ulaya very PAINFUL PAINFUL



Kuna nyumbu hua anabet tushinde huyu ndiyo adui yetu



kugongwa mgongwe nyinyi halafu zigo la mavi mumbebeshe nyumbu.Kuna nyumbu hua anabet tushinde huyu ndiyo adui yetu




arsenal kama huu msimu tumeliacha ili kombe itatuchukua mda sana kulipata




Arteta ni Jasusi la Kihispeni wewe imagine jitu alijawahi kuitwa timu ya Taifa hapo miaka yote yupo uingereza.Kuna nyumbu hua anabet tushinde huyu ndiyo adui yetu
Sina imani hiyo tenaTunalichukua bhana![]()
kugongwa mgongwe nyinyi halafu zigo la mavi mumbebeshe nyumbu.
