Arsenal (The Gunners) | Special Thread

 
Mataito kontendaz😂😂wewe siye wale wananzengo wa aseno ndoo halaand kiatu?!
 
Inauma sana
 
Tukiwaambia hawaamini

Watacheza hadi watenguke viuno ila probability ya kushinda Etihad ni sifuri.
 
Watasubiri hadi Yesu anarudi ndipo washinde kombe. Hivi City wanaotarajia kwenda kufufukia kwao ni wale waliowatwanga Bayern kama mbwa mwizi au ni City wa Manzese? Endeeni kujifaraji nyie nyang'au! You never know until you know. Mavie nyie, mbwer Coco! 😀 😀 😀 😀 😀
 
Mimi Liver nimepambana sanaaa na City mpk ikawa inafika hatua point ni 98 kwa 96 nyie kuku mnakuja kibwege et mpambane nae
Kwa taarifa yenu City huwa mechi kumi za mwisho anashida zote na hapo ndo alikuwa anatuachia Liver
Sasa nyie kuku mechi za mwisho zimewashinda
mbio ni ukingon sio mwanzon
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…