Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

F0C36D7C-FE83-41A9-8111-0A34737E608F.jpeg
 
Lampard ana history nzuri Sana na Man city...ana rekodi nzuri sana..
Mechi ya Chelsea na Man city... inaweza ikawa draw au city kufungwa
Ndivyo ambavyo mnajazana ujinga hivi?

Kama historia ndio inacheza basi nikwambie tu huyo lampard si kitu kwa City.

LAMPARD VS CITY
1 win
1 draw
3 losses

Lete hiyo historia nzuri ya lampard kwa city.
 
Tulikuwa 2:0 ahead , xhaka panic sijuiii alikua anazileta za nini wakati timu inaongoza tayariii. Huyu refa wa leo nae sijuii ameacha gemu ichezeke ki ubabe sana mara amezingua sana!!
Sub ya zincheko ilitakiwa ifanyike kabla hata goli halijarudii dk ya 75-80 huko ukizingatia tierney ni bora sana kwenye defense way, huyu kiwior ilikua haina haja ya kuingia.
The way tumetoka 2:0 up to2:2 daah hii gemu ilikua tayariii tushaimaliza panic baadhi za wachezaji wetu hasa xhaka zimefanya game kuisha hivi maana toka muda ule mpira ulikua haukaiii kabisa kwetu , duels nyingi tumepoteza, pasi zikawa hazifikiii.

From 2:0 to 2:2 hii ndo imeniuma zaidiii .
refa alikuwa affected na crowd
 
Back
Top Bottom