Sharamdala
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 3,559
- 6,557
Usilinganishe City na vitu vya ajabu we kubali yaishe tu kombe linaenda Etihad.Hii game ya leo inaweza kua funzo kwa Arteta na wachezaji kua hatupo kwenye kipindi cha kumuogopa adui na kumsubiri aje
City tunaweza kumfunga
Ndivyo ambavyo mnajazana ujinga hivi?Lampard ana history nzuri Sana na Man city...ana rekodi nzuri sana..
Mechi ya Chelsea na Man city... inaweza ikawa draw au city kufungwa
Livapunyeto jana wameshinda ngapi?Mechi ya jana ilikua ni ya wanaume waliochoka dhidi ya vijana masharobaro (wapaka poda)
Mkuu hii komenti umeiandika kiunyonge sana Dah!😀😀😀Upo sahihi kabisa
Yaani kitu kilichosababisha liva tusibebe kombe ni kwamba city alikua hapewi changamoto inayotakiwa na team zingine so hicho ndicho kinatokea kwenu now
Shindeni zenu nyingi nae ashinde zake
🤣🤣🤣Mkuu hii komenti umeiandika kiunyonge sana Dah!😀😀😀
The whole World against Arsenal. Wasengerema tu nyie.Na wenzenu Kule wapo kupanga hesabu zao kama hivihivi![]()
refa alikuwa affected na crowdTulikuwa 2:0 ahead , xhaka panic sijuiii alikua anazileta za nini wakati timu inaongoza tayariii. Huyu refa wa leo nae sijuii ameacha gemu ichezeke ki ubabe sana mara amezingua sana!!
Sub ya zincheko ilitakiwa ifanyike kabla hata goli halijarudii dk ya 75-80 huko ukizingatia tierney ni bora sana kwenye defense way, huyu kiwior ilikua haina haja ya kuingia.
The way tumetoka 2:0 up to2:2 daah hii gemu ilikua tayariii tushaimaliza panic baadhi za wachezaji wetu hasa xhaka zimefanya game kuisha hivi maana toka muda ule mpira ulikua haukaiii kabisa kwetu , duels nyingi tumepoteza, pasi zikawa hazifikiii.
From 2:0 to 2:2 hii ndo imeniuma zaidiii .
Huenda kitoleo kiko wazi muda woteMavi yenyewe unayo au ndio kuuhatarisha kinyeo iko
Msimamo upo hiviUsilinganishe City na vitu vya ajabu we kubali yaishe tu kombe linaenda Etihad.
Unamaanisha nini mkuu? Wahuni washapita na marinda?Huenda kitoleo kiko wazi muda wote
Siku arsenal wakija kurudisha wenyewe kwa man u hiki kiama,sijuiiii.
Pambania yuropa kaka achana na mambo yasiyokuhusuSiku arsenal wakija kurudisha wenyewe kwa man u hiki kiama,sijuiiii.
Maake naona 7 bila 7 bila,rudisheni hii kwa man uView attachment 2583344
Ass'anal akikosa ubingwa mwaka huu hatopata tena mpaka mwaka 2090.Ni swala la muda tu kima wote wataukimbia tena huu uzi huku wakisonya tu
Wewe nije unipakate?
Unasemaje mke wangu latifa?Una uzoefu huo wa kupakatwa? Huwa panauma na unalia eeeh
Umesema uongo mke wangu Verified YusnaJogoo shoga uyo achana nae
Huwezi kubana kitu ambacho hunaSasahivi ni mwendo wa kubana mapumb* tu hadi May
AmeshakosaAss'anal akikosa ubingwa mwaka huu hatopata tena mpaka mwaka 2090.