Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Huu ukweli wanaujua Ila wanajifariji kwa kusahau kwa misimu ya hivi karibuni city v liva au city ya mwishoni mwishoni mwa enzi za Sir Alex Fugy. Ngoja tuwaache wajifariji
Ngoja labda tuone
Wanaweza kupindua meza na kushinda mechi zote.
 
Thubutuuuuu
Walikua wanacheza huku akili zao inawaza zile goli 7 alizopigwa nyumbu, kila wakitaka kusogea mbele Gabriel Magalasa anapiga kelele wasimuache peke yake hataki lawama.
Kikubwa washukuru tu ostadhi Salah jana alisahau kula daku, laiti angekua ameshiba hizi kima zisingenusurika na kile kipigo dhalilifu alichokutana nacho nyumbu.
Hawa wahaini wanajitangazia ubingwa huku bado wana mechi 9 mkononi wakitegemea sub ya kina Kwiyo halafu mshindani wao Pep Guardiola.
Mcheki huyu kima mweupe anavyo ogelea utafikiri yupo kwenye swimming pool.

#Asenyo Kondoo
#Haaland kiatu
#Mancity Epl champion 2022/2023View attachment 2582649
Hahahahahahag
. We MTU umejua kunichekesha
 
Waombe tu kipara apoteze mechi hata mbili la sivyo kombe ndio baibai.
Watuulize kilichotupata 😂
Kwenda kumfunga kipara,akiwa kwake ,Tena raundi ya mwisho🤣watatenguka miguu bure na hawataweza.
Haya ni matumaini hewa.

Jamaa mwishoni huwa hakati pumzi yule,na akishashikilia pale juu ndo basi tena hesabia maumivu.
 
Poleni sana wana Arsenal, hakika hamtachukua taji lolote msimu huu, mwendo mmeumaliza , miaka 18+ bila EPL hakika itaendelea
 
Kabla ya mechi ya united Rio Ferdinand alisema "Huu ndiyo wakati mzuri kwenda kumfunga liva nyumbani, tupo kwenye form na sasa hivi kiwango chao kimepungua"

Wakafa 7 kwa 0

Mshindani wetu wa karibu alifungwa hapo hapo, yeye alifungwa 1 kwa 0.

Kuna watu wanatutishia Chelsea na Brighton. Kwanza niwape pole Brighton kwa walichofanyiwa mpaka wameombwa msamaha. Arsenal yalitukuta pia. Lakini ambacho hawajui ni kwamba hata City naye ana Chelsea ana Brentford na ana Sisi pia ila huwezi ambiwa haya coz hata wao hawajui.

Anyway, chelsea ni mechi ngumu kweli lakini sababu pekee ni ngumu ni kwakua ni derby na derby hazitabiriki, tushamfunga chelsea akiwa na kikosi anachokiona bora tushamfunga akiwa anajiona yupo kwenye form na ana kocha wake bora so hii ugumu wake ni huo tukija on pitch Arsenal tuko vizuri kuwazidi.

Brighton ina attack nzuri. Recently defense yake imekuaje? No one sees this.
Timu ambazo City kabakisha nyingi hazipo on form so tunatarajia iwe a walk in a park kwake and with that hii inamaanisha tukomae no one will save us. Gape la points nane limepungua na kua 6 this means tunatakiwa kushinda mechi mbili zijazo as zitatupa morali wakati tunaenda kutana na city

Kiwior is not good enough so is Rob. Our best LB out of all people was nutmegged by Trent. I hope kocha anaona na atachukua hatua. We came too far to say we will settle for a second place.
Upo sahihi kabisa

Yaani kitu kilichosababisha liva tusibebe kombe ni kwamba city alikua hapewi changamoto inayotakiwa na team zingine so hicho ndicho kinatokea kwenu now

Shindeni zenu nyingi nae ashinde zake
 
Mashabiki wa hii timu hawajawahi kuwa na akili.

Mwenye akili ni computerarsenal tu...

The rest viazi mbatata.
hilo kila siku mimi hua nalipigia kelele humu.
computerarsenal hakika wewe pekee humu ndio shabiki unaejielewa na kukubalika na mashabiki wa timu zote kasoro baadhi tu ya mashabiki wa hii timu yako, ukweli wako siku zote ndio unafanya mashabiki vilaza wa humu ndani wakuchukie.
Humu watu wanataka kupeana maneno matamu matamu tu na hope za kijingajinga.
Kiukweli Mkuu hua nakuhurumia sana jinsi hizi ziro Iq za humu ndani zinavyokushambulia kisa tu mitazamo yako kwenye jicho halisi la kisoka inavyotofautiana na mihemuko yako.
Mashabiki 200 ya hili jukwaa ni sawa na IQ ya computerarsenal mmoja.
 
Back
Top Bottom