Mr Ubwabwa
JF-Expert Member
- Mar 23, 2023
- 375
- 283
Zincheko hakuna beki pale, yule anafaa kwa kuonea vibonde wa ligi tu ni bora tulimuuza.Jipeni moyo zinchenko na Jesus tumewauza kwakuwa bado watoto hamtoamini tunanyanyua makwapa kuna timu hata ziki kuacha magori huwapati ila sio aseno
Imagine kesho tuko na bayern af tuwe na beki zincheko amkabe gnabry au coman, watu wanajipigia tu.
Lakini hum wanakwambia watadominate uropean football kwa miaka 10+ kwa ule uchochoro zinchenko.

he knows why he cried