Arsenal ni disgrace. Unawezaje ku draw game uliyoongoza 2-0 wakati wewe ni title contender.
Hizo sio tabia za mabingwa. City ana kiporo kimoja. Race yenu imeishia hapa.
Save this
Atafungwa zote upende usipendeBrighton ana game na city na ana game na Arsenal...hawezi fungwa zote mbili... Brighton anaweza amua Nani awe bingwa..
Hawahawa Chelsea?Lampard ana history nzuri Sana na Man city...ana rekodi nzuri sana..
Mechi ya Chelsea na Man city... inaweza ikawa draw au city kufungwa



This is football brother, utani tu wa hapa na pale sasa wewe matusi yanatoka wapi?Wewe ni Choko mwenye Tigo kubwa
Historia akiwa kama kocha au kama mchezaji?Lampard ana history nzuri Sana na Man city...ana rekodi nzuri sana..
Mechi ya Chelsea na Man city... inaweza ikawa draw au city kufungwa
Alivyokuwa kocha mwanzo ..Historia akiwa kama kocha au kama mchezaji?
Ebu weka records tuone.
Timu ambayo inaongoza kukusanya points home ni Arsenal.Acha dharau wewe. Old Trafford lazima uache points. City alipigiwa mpira hata Haaland hakutembea, katimu kenu msimu huu na kocha wa mchongo aliwekewa mtego mkajaa kwenye mfumo.
Clear chance hii kabisa tutaijutia sana kama mambo yataenda hasi mwisho wa msimuKupambania UCL trophy ni kutumia nafasi kama hizi, msimu ujao experience itakua ya kutosha
Hii timu itaenda kudominate European football kwa miaka 10+View attachment 2582602
Hapa mechi rahisi ni dhidi ya Chelsea
Clear chance hii kabisa tutaijutia sana kama mambo yataenda hasi mwisho wa msimu
ThubutuuuuuMsingepaki bus
Mngefunga mabao mengine zaidi ya hayo
Mizembe nyanya mkaridhika.
Mkajiona mmemaliza.
Thubutuuuuu
Walikua wanacheza huku akili zao inawaza zile goli 7 alizopigwa nyumbu, kila wakitaka kusogea mbele Gabriel Magalasa anapiga kelele wasimuache peke yake hataki lawama.
Kikubwa washukuru tu ostadhi Salah jana alisahau kula daku, laiti angekua ameshiba hizi kima zisingenusurika na kile kipigo dhalilifu alichokutana nacho nyumbu.
Hawa wahaini wanajitangazia ubingwa huku bado wana mechi 9 mkononi wakitegemea sub ya kina Kwiyo halafu mshindani wao Pep Guardiola.
Mcheki huyu kima mweupe anavyo ogelea utafikiri yupo kwenye swimming pool.
#Asenyo Kondoo
#Haaland kiatu
#Mancity Epl champion 2022/2023View attachment 2582649









Hizi Kima kama mechi na Liver zimesingizia Presha basi tutegemee mechi yao na City zitasingizia Kisukari.
Nimecheka kama kichaa
Hebu nilale mimi![]()