Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 10,553
- 19,748
Tottenham alikuwa anaongoza 2 mtungi pale Etihad,mwisho wa siku akapigwa 4-2 mechi ikaisha
Hawa hawa Liverpool walikuwa wanaongoza mabao 2 kwa 0 dhidi ya Madrid, I hope unajua kilichowakuta.
Hawa hawa Liverpool walikuwa wanaongoza mabao 2 kwa 0 dhidi ya Madrid, I hope unajua kilichowakuta.
Arsenal ni disgrace. Unawezaje ku draw game uliyoongoza 2-0 wakati wewe ni title contender.
Hizo sio tabia za mabingwa. City ana kiporo kimoja. Race yenu imeishia hapa.
Save this