Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Tottenham alikuwa anaongoza 2 mtungi pale Etihad,mwisho wa siku akapigwa 4-2 mechi ikaisha

Hawa hawa Liverpool walikuwa wanaongoza mabao 2 kwa 0 dhidi ya Madrid, I hope unajua kilichowakuta.
Arsenal ni disgrace. Unawezaje ku draw game uliyoongoza 2-0 wakati wewe ni title contender.

Hizo sio tabia za mabingwa. City ana kiporo kimoja. Race yenu imeishia hapa.

Save this
 
Japo nimeangalia kipindi cha pili pekee na kuona hali ngumu tulio kuwa nayo lkn mpaka sasa tuna cha kujivunia na bado tuko na 90% ya kuchukua ubingwa ambao hakuna aliye utegemea. Msimu jana Liver alichukua point 6 kwetu, msimu huu tumechukua point 4 kwake. Alabu bahati mbaya tumekutana na Liver kwenye kipindi kigumu ambacho sisi tunahitaji matokeo zaidi huku yeye akihitaji kurudisha momentum baada kutopata matokeo mzauri mechi mbili zilizopita. Kwahiyo ilikuwa lzm wapambane kufa na kupona ili kulinda heshima ya kocha wao maana yawezekana km angepoteza mechi ya leo basi kocha angekuwa kwenye wakati mgumu zaidi.

Nilidhani tatizo la timu yetu kushindwa kucheza pale inapokumbana na pressure limeisha kumbe bado lipo. Yaan Odegaard na Saka wakinyimwa nafasi ya kutulia na mpira timu inakosa ubunifu na hapo ndo huwa tunapata wakati mgumu ila hilo tatizo sio la leo wala jana ni tangu kipindi cha Wenger. Yan km unataka kuwawin Arsernal wewe cheza mpira wa nguvu na wape pressure wachezaji wake hapo gem umeimaliza. Ila yote kwa yote bado tuko pazuri "something is better than nothing"
 
😂😂
A8E2DD8C-115F-47B9-A8E5-D8982D8BC576.jpeg
 
Lampard ana history nzuri Sana na Man city...ana rekodi nzuri sana..
Mechi ya Chelsea na Man city... inaweza ikawa draw au city kufungwa
Historia akiwa kama kocha au kama mchezaji?

Ebu weka records tuone.
 
Acha dharau wewe. Old Trafford lazima uache points. City alipigiwa mpira hata Haaland hakutembea, katimu kenu msimu huu na kocha wa mchongo aliwekewa mtego mkajaa kwenye mfumo.
Timu ambayo inaongoza kukusanya points home ni Arsenal.
Inayoongoza kukusanya points away ni Arsenal.

Haupo level ya kukaa meza moja na Arsenal
 
Msingepaki bus
Mngefunga mabao mengine zaidi ya hayo

Mizembe nyanya mkaridhika.
Mkajiona mmemaliza.
Thubutuuuuu
Walikua wanacheza huku akili zao inawaza zile goli 7 alizopigwa nyumbu, kila wakitaka kusogea mbele Gabriel Magalasa anapiga kelele wasimuache peke yake hataki lawama.
Kikubwa washukuru tu ostadhi Salah jana alisahau kula daku, laiti angekua ameshiba hizi kima zisingenusurika na kile kipigo dhalilifu alichokutana nacho nyumbu.
Hawa wahaini wanajitangazia ubingwa huku bado wana mechi 9 mkononi wakitegemea sub ya kina Kwiyo halafu mshindani wao Pep Guardiola.
Mcheki huyu kima mweupe anavyo ogelea utafikiri yupo kwenye swimming pool.

#Asenyo Kondoo
#Haaland kiatu
#Mancity Epl champion 2022/2023
Screenshot_20230409_230136.jpg
 

Attachments

  • 2023-04-09T161543Z_865849918_UP1EJ49196591_RTRMADP_3_SOCCER-ENGLAND-LIV-ARS-REPORT.JPG
    2023-04-09T161543Z_865849918_UP1EJ49196591_RTRMADP_3_SOCCER-ENGLAND-LIV-ARS-REPORT.JPG
    45.8 KB · Views: 7
Thubutuuuuu
Walikua wanacheza huku akili zao inawaza zile goli 7 alizopigwa nyumbu, kila wakitaka kusogea mbele Gabriel Magalasa anapiga kelele wasimuache peke yake hataki lawama.
Kikubwa washukuru tu ostadhi Salah jana alisahau kula daku, laiti angekua ameshiba hizi kima zisingenusurika na kile kipigo dhalilifu alichokutana nacho nyumbu.
Hawa wahaini wanajitangazia ubingwa huku bado wana mechi 9 mkononi wakitegemea sub ya kina Kwiyo halafu mshindani wao Pep Guardiola.
Mcheki huyu kima mweupe anavyo ogelea utafikiri yupo kwenye swimming pool.

#Asenyo Kondoo
#Haaland kiatu
#Mancity Epl champion 2022/2023View attachment 2582649

Nimecheka kama kichaa

Hebu nilale mimi
 
Back
Top Bottom