Mwamaleki
JF-Expert Member
- May 25, 2018
- 738
- 2,979
Key word 'tabia za mabingwa'Tottenham alikuwa anaongoza 2 mtungi pale Etihad,mwisho wa siku akapigwa 4-2 mechi ikaisha
Hawa hawa Liverpool walikuwa wanaongoza mabao 2 kwa 0 dhidi ya Madrid, I hope unajua kilichowakuta.
spurs na Liverpool hawakua title contenders kwenye hizo games umetaja


