Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Siyo ugonjwa wa moyo tena!!
FB_IMG_16774853138625484.jpg
 
Marefa hasa wa VAR Leo wamezingua Sana , Penalties 3 wanazipotezea

Swala la muda kwenda dk 97

Dk zilizoongezwa ni 6 lakn ndani ya dk hizo kama kumbukumbu zangu ziko sahihi dk 92/93 kuna mchezaji jina sikumbuki wa Bournemouth alijifanya ameumia, alikaa kwenye pernat box kupoteza muda takribani sek 45-60. Hii ndio sababu Refa alifidia muda huo ikafika 97.
IMG_20230304_211501.jpg
IMG_20230304_211456.jpg
IMG_20230304_211449.jpg
 
Nilisema kabla ya 2nd half kuanza. Ile sub ya Trossard alipaswa aingie Nelson japo wote yeye na ESR walitoka majeruhi.
Trossard kaumia aisee

Ila Nelson ni vile alikuwa injury tu , ila ana potential kubwa

Arteta alisema watu wanamchukulia poa ila yeye anajua maana kipind anafundisha Arsenal U15 alimfundisha anamjua vzr
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom