hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,286
- 26,693
Vipi had Sasa Hali yakoLeo Bournemouth tuna jambo letu, hawa kima wakishinda naomba moderator anipige ban japo wiki.
Vipi had Sasa Hali yakoLeo Bournemouth tuna jambo letu, hawa kima wakishinda naomba moderator anipige ban japo wiki.
We ukufe TU, hauna faidaNakuambia hivi leo mkishinda nipigwe ban.View attachment 2537219
Mashabiki wa manyumbu bhanaAsante Bournemouth...nikojozee hao.
Mods pigeni ban uyu kaomba mwenyewe.Qmaamaee hamtoboi leo, mkitoboa nipigwe ban.View attachment 2537206
Penalties 3 zimekataliwaSiangalii hii game ila fotmob inasema kuna potential penalty 2.
Ni kweli?
Hukuona walivyokuwa wanapoteza muda?Hakuna kitu hapa, refa kawatafutia goli kilazima.
Kenge bibi yako japo siwakubali aseno mbwa hawaKuna boda boda mwezi uliopita akiwa amevaa jezi ya Asenyani kanikwapua simu. Kwa hii laana lazima mpigwe kenge nyie.
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Dogo amepikwa amepikikaNelson ana vitu mguuni akitulia upande wa kishoto ule anachukua namba
Moderator tenda haki hapaLeo Arsenal hatoboi, ushindi wake ni sare, akishinda nipigwe ban.

Acha shobo kama jogoo shogaAibu naona mm aiseee.
Yeah miguuni mwepesi anajua kuadaa beki,anapiga cross pass hatarishiNelson alikuwa akishika mpira ni balaa tupu
Arsenal inapanga kumpa mkataba mpya