Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Siyo ugonjwa wa moyo tena!!
FB_IMG_16774853138625484.jpg
 
Marefa hasa wa VAR Leo wamezingua Sana , Penalties 3 wanazipotezea

Swala la muda kwenda dk 97

Dk zilizoongezwa ni 6 lakn ndani ya dk hizo kama kumbukumbu zangu ziko sahihi dk 92/93 kuna mchezaji jina sikumbuki wa Bournemouth alijifanya ameumia, alikaa kwenye pernat box kupoteza muda takribani sek 45-60. Hii ndio sababu Refa alifidia muda huo ikafika 97.
IMG_20230304_211501.jpg
IMG_20230304_211456.jpg
IMG_20230304_211449.jpg
 
Back
Top Bottom