Samaritan Nemesis
JF-Expert Member
- Mar 7, 2014
- 239
- 284
KAMA KENGE WAPOTEZE MUDA WACHEKEWETena saaana
Yaani wanatafutiwa kombe kwa lzm huu mzunguko wa pili
KAMA KENGE WAPOTEZE MUDA WACHEKEWETena saaana
Yaani wanatafutiwa kombe kwa lzm huu mzunguko wa pili
Na nikuongezee dogo Nielson anaweza kucheza wing zote vizur kabsaaNelson?
Kuna mengi ya kumzungumzia huyu dogo ila ni muhimu kuweka akiba ya maneno.
Its a day show na hatuna uhakika kama atatupa perfomance kama ya leo maana huwa kuna 'kismart' katika soka.yaani mchezaji anaweza akakupa a mess or ronaldo perfomance in a single match baada ya hapo akarudi kwenye default mode,pamoja na hayo ila kuna vitu dogo huwez kumnyang'anya pamoja na ukweli kwamba its a day show
1-mentality.dogo amekomaa kiakili anajua position yake katika time na space anapokuwa uwanjani,kubwa zaidi he considers himself kama senior player anayetakiwa kudeliver(time will tell)
2-decision making. Angechelewa kwa sekunde 2 lile goli la tatu asingelipata.dogo anajua vital decision
3-bird-eye. Space ilichanganywa vizuri mno kwenye goli la tatu,ni jicho la mwewe tu ndo linaona angle aliyopeleka mpira.HAIKUWA BAHATI MBAYA alituliza na akaangalia angle.
4-movement. Dogo kanikumbusha prime samir nasri.unahitaji winga kivuruge kama huyu kwa low block teams
5-calmness.hii hufundishwi bali ni self development. Hatetemeki.
Mwisho tunafurahia, ila kama arteta analalamika vieira kumpa headache basi hili nalo ni tatizo lingine linalomwendea arteta kama dogo atafanikiwa kuendeleza moto wa leo
Nelson ni INTAKE ya awali na kina Smith Rowe kabla Ya INTAKE ya kina sakaNa nikuongezee dogo Nielson anaweza kucheza wing zote vizur kabsaa
Kuna game msimu huu aliingia sub akaenda kutupia goli 2 kama sijasahau
Aliuwasha sana na kama sijasahau tena alitoka SAKA.
Dhidi ya Notingham forest alipiga 2 na aka assist 1Na nikuongezee dogo Nielson anaweza kucheza wing zote vizur kabsaa
Kuna game msimu huu aliingia sub akaenda kutupia goli 2 kama sijasahau
Aliuwasha sana na kama sijasahau tena alitoka SAKA.
Partey is very composed and usually balances the Team astonishinglyNilsema Arsenal hajawahi poteza mechi Partey akifunga
Kilichonishangaza leo kwa Nelson, ana impact kubwa mno kwenye wings zote mbili, kuna game kabla hajaumia aliingia kuchukua nafasi ya Saka RW na alikiwasha saaana na alikua Man of the Game kama sijakosea na Leo kaingia kama RW ooh My God jamaa ni hatari sanaDogo amepikwa amepikika
Tuna utajiri mkubwa wa wingers wa Kushoto had Raha
Nelson amekuwa hatari Sana

Asante kwa kunikumbusha.Dhidi ya Notingham forest alipiga 2 na aka assist 1
Kwel kaka.Nelson ni INTAKE ya awali na kina Smith Rowe kabla Ya INTAKE ya kina saka
Nelson ,Smith Rowe walipelekwa Mikopo na ndio kipind Wenger anaondoka ,hivo hawakupata kocha sahihi wa kuwaendeleza vipaji vyao
Kama mnakumbuka Nelson alipoenda hata German Kama sikosei aliuwasha Sana
Smith Rowe alifanya vzr Leipzig
Alipokuja Emery hakuwa kocha sahihi wakuwakuza
Hata Saka mpaka Leo angebaki kuwa beki
Chini ya Super Mikel atafanya vzr ,Kama Smith Rowe View attachment 2537368
Mkubali hata dada yako...pepo shindwaaaKenge bibi yako japo siwakubali aseno mbwa hawa
Roho inakuuma tu kuwa muwazi et rekodi labda recodi managementArsenyani bebeni ubingwa rekodi ya mzee wetu Fergie iendelee.
Sawa Sheikh YahyaHamtoboi leo, mkitoboa nipigwe ban.View attachment 2537206
Bournemouth ndio timu inayoshika mkia kwenye msimamo wa ligi.