Camilo_Cienfuegos
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 11,378
- 15,384
Naona wamejipanga na low block, lakini vitafunguka
Hahaha,Kwamba Ass'anal ameshafika level hzo? Bado sana, Ass'anal ina wachezaji wa kiwango cha chini sn sema upepo tu, nakuambia leo Ass'anal akishinda nipigwe ban.
Twitter zipo link kibao, nenda search football liveJamani mwenye link please
AmeumiaKwann trossad katolewa
Mtoto halali na hela, hao madogo wataachia tu wawaulize wenzao walio watangulia nini kiliwapataAsante Bournemouth...nikojozee hao.
Ujinga mwingine wa mtu wa aseno huu.Kwamba Arsenal afungwe na Bournemouth ??
Ili iwezekane mpaka Arsenal acheze chini ya kiwango na Bournemouth wacheze juu ya kiwango chao msimu huu.
Hii haiwezi tokea.
Hana kiwangoKwann trossad katolewa
Naona kuna vicharacter vya kiuchoyo choyo kina saka odegaard na martinell wanaanza kuwa navyo chance aliyopata saka kwenye shoot hatua za awali ni wazi ilitakiwa ampasie martinell afunge ila kwa ubinafsi akaona afunge yeye....sio mbaya tuna dk 45 za kujiulizaNaona wamejipanga na low block, lakini vitafunguka
Ameumia.. na anaweza kosa mechi inayofuataKwann trossad katolewa