Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Nilisema kabla ya 2nd half kuanza. Ile sub ya Trossard alipaswa aingie Nelson japo wote yeye na ESR walitoka majeruhi.
Trossard kaumia aisee

Ila Nelson ni vile alikuwa injury tu , ila ana potential kubwa

Arteta alisema watu wanamchukulia poa ila yeye anajua maana kipind anafundisha Arsenal U15 alimfundisha anamjua vzr
 
Nelson?
Kuna mengi ya kumzungumzia huyu dogo ila ni muhimu kuweka akiba ya maneno.
Its a day show na hatuna uhakika kama atatupa perfomance kama ya leo maana huwa kuna 'kismart' katika soka.yaani mchezaji anaweza akakupa a mess or ronaldo perfomance in a single match baada ya hapo akarudi kwenye default mode,pamoja na hayo ila kuna vitu dogo huwez kumnyang'anya pamoja na ukweli kwamba its a day show

1-mentality.dogo amekomaa kiakili anajua position yake katika time na space anapokuwa uwanjani,kubwa zaidi he considers himself kama senior player anayetakiwa kudeliver(time will tell)

2-decision making. Angechelewa kwa sekunde 2 lile goli la tatu asingelipata.dogo anajua vital decision

3-bird-eye. Space ilichanganywa vizuri mno kwenye goli la tatu,ni jicho la mwewe tu ndo linaona angle aliyopeleka mpira.HAIKUWA BAHATI MBAYA alituliza na akaangalia angle.

4-movement. Dogo kanikumbusha prime samir nasri.unahitaji winga kivuruge kama huyu kwa low block teams

5-calmness.hii hufundishwi bali ni self development. Hatetemeki.


Mwisho tunafurahia, ila kama arteta analalamika vieira kumpa headache basi hili nalo ni tatizo lingine linalomwendea arteta kama dogo atafanikiwa kuendeleza moto wa leo
 
Nelson?
Kuna mengi ya kumzungumzia huyu dogo ila ni muhimu kuweka akiba ya maneno.
Its a day show na hatuna uhakika kama atatupa perfomance kama ya leo maana huwa kuna 'kismart' katika soka.yaani mchezaji anaweza akakupa a mess or ronaldo perfomance in a single match baada ya hapo akarudi kwenye default mode,pamoja na hayo ila kuna vitu dogo huwez kumnyang'anya pamoja na ukweli kwamba its a day show

1-mentality.dogo amekomaa kiakili anajua position yake katika time na space anapokuwa uwanjani,kubwa zaidi he considers himself kama senior player anayetakiwa kudeliver(time will tell)

2-decision making. Angechelewa kwa sekunde 2 lile goli la tatu asingelipata.dogo anajua vital decision

3-bird-eye. Space ilichanganywa vizuri mno kwenye goli la tatu,ni jicho la mwewe tu ndo linaona angle aliyopeleka mpira.HAIKUWA BAHATI MBAYA alituliza na akaangalia angle.

4-movement. Dogo kanikumbusha prime samir nasri.unahitaji winga kivuruge kama huyu kwa low block teams

5-calmness.hii hufundishwi bali ni self development. Hatetemeki.


Mwisho tunafurahia, ila kama arteta analalamika vieira kumpa headache basi hili nalo ni tatizo lingine linalomwendea arteta kama dogo atafanikiwa kuendeleza moto wa leo
Nelson injury tu


Mechi zote anazopewa nafasi anafanya vzr

Umesahau mechi na Forest aliingia nafasi ya Saka ?

2 goals na 1 assist


Nelson ana potential kubwa


Mikel Arteta:


“Reiss Nelson hasn’t featured much because he has been injured. He comes on and puts in that performance. It was incredible to experience the emotion of the crowd. It’s going to stick with us.” [via BBC MOTD] #afc
 
Nafikiri sheria ya inayoruhusu refa kuamuru iwe penati bado inachangamoto sana.

ESR,NELSON Wanakumbwa sana na majeraha sijui hawazingatii vyakula?

Ili Nelson aendelee kuwa hatari,arsenal wanabidi waajiri wataalam zaidi kwa ajili yake na wengine kama rashford alivyosaidiwa.
 
Nelson leo ni kama usajili mpya vile. Anaumia Trossard anapatikana yeye.

Arteta achangamke mapema sana ampe mkataba mpya coz dogo anaipenda sana Arsenal.
Inawezekana jamaa anauwezo mkubwa wa kusoma mchezo ukiwa unaendelea ila akianza unaweza shangaaa.
 
Nafikiri sheria ya inayoruhusu refa kuamuru iwe penati bado inachangamoto sana.

ESR,NELSON Wanakumbwa sana na majeraha sijui hawazingatii vyakula?

Ili Nelson aendelee kuwa hatari,arsenal wanabidi waajiri wataalam zaidi kwa ajili yake na wengine kama rashford alivyosaidiwa.
Esr baada ya kufanyiwa ile surgery amepona kabisa

Hata Nelson yupo fiti ni vile kwasasa kulikuwa hakuna ulazima wa kuwawahisha
 
NELSON KUPEWA MKATABA MPYA

Unbelievable game, unbelievable win for Arsenal… and Reiss Nelson has fantastic impact with his first Premier League goal of the season, with an assist too. #AFC

His future will be decided soon as he’s out of contract in June — and he’s love to stay.
 
Nelson?
Kuna mengi ya kumzungumzia huyu dogo ila ni muhimu kuweka akiba ya maneno.
Its a day show na hatuna uhakika kama atatupa perfomance kama ya leo maana huwa kuna 'kismart' katika soka.yaani mchezaji anaweza akakupa a mess or ronaldo perfomance in a single match baada ya hapo akarudi kwenye default mode,pamoja na hayo ila kuna vitu dogo huwez kumnyang'anya pamoja na ukweli kwamba its a day show

1-mentality.dogo amekomaa kiakili anajua position yake katika time na space anapokuwa uwanjani,kubwa zaidi he considers himself kama senior player anayetakiwa kudeliver(time will tell)

2-decision making. Angechelewa kwa sekunde 2 lile goli la tatu asingelipata.dogo anajua vital decision

3-bird-eye. Space ilichanganywa vizuri mno kwenye goli la tatu,ni jicho la mwewe tu ndo linaona angle aliyopeleka mpira.HAIKUWA BAHATI MBAYA alituliza na akaangalia angle.

4-movement. Dogo kanikumbusha prime samir nasri.unahitaji winga kivuruge kama huyu kwa low block teams

5-calmness.hii hufundishwi bali ni self development. Hatetemeki.


Mwisho tunafurahia, ila kama arteta analalamika vieira kumpa headache basi hili nalo ni tatizo lingine linalomwendea arteta kama dogo atafanikiwa kuendeleza moto wa leo
Game na Forest pia watu mulimtilia shaka baada ya yeye kupewa nafasi ya Saka akatupia goli mbili

Msijifanye mnamjua sana kuliko walimu wanaokua nae mazoezini
 
NELSON KUPEWA MKATABA MPYA

Unbelievable game, unbelievable win for Arsenal… and Reiss Nelson has fantastic impact with his first Premier League goal of the season, with an assist too. #AFC

His future will be decided soon as he’s out of contract in June — and he’s love to stay.
Bao lake la tatu hili marekebisho kidogo hapo
 
Refa leo kasema liwalo na liwe mpka mkeka wake utick
Refa katuchoma sana na alikuwa hana nia tushinde ni upambanaji wetu tu

Kilichofanya achelewe kumaliza dakika ni yule mchezaj pinzan kuanguka wakat extra time tu zmeongezwa na akatumia dakika 1 nzma mpira haukuchezwa

Kwahyo alikuwa anaifidia,yametokea matukio 6 ya penat ila yote kakausha kajifanya kuwaamn Var na mengne anaona kabsaa.
 
Back
Top Bottom