Nelson naye alikuwa majeruhi, inawezekana naye hajawa fit sawasawaTomiyasu simuelewi. Mapema aingie White.
Na ile sub ya Trossard ilitakiwa aingie Nelson. ESR ni kama hayuko fit enough.
Asenali bana, twaipenda ila mmhhh.
Hamtoki leo amini kwamba.Naona kuna vicharacter vya kiuchoyo choyo kina saka odegaard na martinell wanaanza kuwa navyo chance aliyopata saka kwenye shoot hatua za awali ni wazi ilitakiwa ampasie martinell afunge ila kwa ubinafsi akaona afunge yeye....sio mbaya tuna dk 45 za kujiuliza
Wana uchoyo usio na sababu.Naona kuna vicharacter vya kiuchoyo choyo kina saka odegaard na martinell wanaanza kuwa navyo chance aliyopata saka kwenye shoot hatua za awali ni wazi ilitakiwa ampasie martinell afunge ila kwa ubinafsi akaona afunge yeye....sio mbaya tuna dk 45 za kujiuliza
Nipo Mkuu Will Jr
Mimi ni Arsenal Mkuu blood fanHivi huyu jamaa anajiskiaje sasa hivi!
Halafu sijawahi kumuelewa yuko upande gani, jina ni la Arsenal lakini fact ni za kinyumbu.
Huyu Ramsdale anautoto mwingi sana halafu ni mapepeMaybe next match should start Turner