Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 31,151
- 88,842
Ficha ujinga wakoHii team inabebwa sana
Ficha ujinga wakoHii team inabebwa sana
Tumenyimwa penalty kama trillion hiviSiangalii hii game ila fotmob inasema kuna potential penalty 2.
Ni kweli?
Aibu naona mm aiseee.Hii team inabebwa sana
Ile nilivyoiona nikasema kama huyu hajashika anaeshika inakuaje?Ila VAR inatukandamiza matuta mawili tumenyimwa.Ile ya Orde tuta la wazi wale jamaa wa VAR hawakuliona au wanatufanyia makusudi.
Yule aliye shikari mpira kipindi cha kwanza mpaka watangazaji wakawa wanahoji mkono unaanzia wapi.
Tukupige ban?Leo Arsenal hatoboi, ushindi wake ni sare, akishinda nipigwe ban.
Ulitaka abebwe man u tukiwatukana mnatuona wabayaHii team inabebwa sana
Kafunika Penalties ngapi!? Mbona hili suala hamzungumzii kabisaRefa fala sana, mpira umechezwa nje ya muda kuwatafutia washamba hawa goli la bure, achunguzwe
Tufanye 2-2 au vipiRefa fala sana, mpira umechezwa nje ya muda kuwatafutia washamba hawa goli la bure, achunguzwe


Nakazia hapa.Refa fala sana, mpira umechezwa nje ya muda kuwatafutia washamba hawa goli la bure, achunguzwe
Ramsadale shati lile, anafungwagwa magoli mepesi sanaMaybe next match should start Turner
Vip tumuite moderatorLeo Arsenal hatoboi, ushindi wake ni sare, akishinda nipigwe ban.