Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hamtoboi leo, mkitoboa nipigwe ban.
Screenshot_20230304-191756.jpg
 
Tupambanie nafasi ya nne tu,ubingwa ni wa city,we are not serious
Niliwahi kusema humu Arsenal either wanatumika na waandaaji wa ligi au kuna pesa huwa wanalipwa kufanya madudu, maana timu ambayo mnakuwa mna uhakika kabisa wa kushinda unakuta anafungwa, tena kizembe mpaka unashangaa...
 
Arsenal gani wakati timu ikifungwa unafurahia wewe ni mamluki tu
Wapi nimefurahia?nionyeshe sehemu niliyofurahi

Muhimu Arsenal amequalify top 4 that's it problem kubwa uliyonayo unaendeshwa kwa hisia za Arsenal kuwa EPL winner but for me Arsenal kuqualify next season katika champions league ni bonge la achievement Arsenal kuwa winner this season itakuwa ni bonge la surprise na ni bonge la bonus bro achana na hisia zitakuumiza
 
Back
Top Bottom