Camilo_Cienfuegos
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 11,378
- 15,384
Tumepoteza points kwa timu zote zilizopo kwenye relagation zone
Timu nzima ya Ass'anal ni utoto mtupu sema zali tuu.Huyu Ramsdale anautoto mwingi sana halafu ni mapepe
Futa hii mkuu.
Arsenal gani wakati timu ikifungwa unafurahia wewe ni mamluki tuMimi ni Arsenal Mkuu blood fan
Angekua na utoto angewafikisha hapo mlipo brother? Acha kupanicHuyu Ramsdale anautoto mwingi sana halafu ni mapepe
Niliwahi kusema humu Arsenal either wanatumika na waandaaji wa ligi au kuna pesa huwa wanalipwa kufanya madudu, maana timu ambayo mnakuwa mna uhakika kabisa wa kushinda unakuta anafungwa, tena kizembe mpaka unashangaa...Tupambanie nafasi ya nne tu,ubingwa ni wa city,we are not serious
Wapi nimefurahia?nionyeshe sehemu niliyofurahiArsenal gani wakati timu ikifungwa unafurahia wewe ni mamluki tu
but for me Arsenal kuqualify next season katika champions league ni bonge la achievement
Arsenal kuwa winner this season itakuwa ni bonge la surprise na ni bonge la bonus bro achana na hisia zitakuumizaNakuambia hivi leo mkishinda nipigwe ban.Never lost a match when Partey had scored
Hakuna ushindi leo, niamini mimi.